Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba awataja wasaliti wa Nyerere

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema wanasiasa wanaomtuhumu kwa kumsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, ndiyo wasaliti kwa kuwa waliingiza kwenye Katiba, mambo yanayokinzana na makubaliano ya Muungano huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba ataja wasaliti wa Nyerere

MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amedokeza kuwa kwa tabia na mwenendo wao, watawala wamemsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Jaji Warioba amekemea...

 

10 years ago

Habarileo

Nyerere hajaenziwa kwa vitendo —Warioba

Mwalimu Julius NyerereIKIWA leo ni miaka 15 tangu kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere, imebainika kuwa bado suala la haki na usawa ndani ya jamii ya Watanzania linakosekana na hivyo kushindwa kumuenzi vyema muasisi huyo wa taifa.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tafakuri juu ya JK Nyerere, Warioba, CCM na Wapinzani

NILIMALIZIA makala yangu iliyopita kwa kutoa mawazo yangu kuhusu misimamo ya Jaji Joseph Sinde Wa

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka

Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba jana alivamiwa na kikundi cha watu wachache waliohudhuria mdahalo wa Katiba wakati akihoji vitendo vya baadhi ya watu kutumia vibaya jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba: Hata Nyerere angebadili mawazo kuhusu Serikali tatu

>Kazi ya miezi 20 ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kukusanya maoni ya Watanzania na kutoa Rasimu ya Katiba itakayojadiliwa katika Bunge la Katiba na baadaye wananchi kuipigia kura ya maoni ili iwe Katiba imekamilika.

 

10 years ago

Habarileo

DC Chamwino awataja waliokwapua michango ya maabara

Mkuu wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Fatuma Ally MKUU wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Fatuma Ally amewataja watendaji waliokwapua takribani Sh milioni 6 za michango ya ujenzi wa maabara shule za sekondari.

 

10 years ago

Bongo5

J.Cole awataja rappers watano anaowakubali

J. Cole amewataja rappers watano anaowakubali zaidi wakati akiongea na Angie Martinez kwenye kituo cha redio cha Power 105.1 jana kupromote album yake mpya, 2014 Forest Hills Drive. Aliwataja rappers wa nne bila mpangilio maalum kuwa ni Tupac Shakur, Notorious B.I.G., Nas, na bosi wake wa Roc Nation, Jay Z. Hata hivyo alijikuta njia panda […]

 

10 years ago

Bongo5

One the Incredible awataja maproducer walioshiriki kuipika R.A.P

December 5, rapper One the Incredible anatarajia kuiachia album yake ya pili inayokwenda kwa jina la R.A.P ambayo ni kifupi cha ‘Representing Africa Popote’, ) Desemba 5 mwaka huu. Akiongea na kipindi cha Bomba Base Show cha Bomba FM ya Mbeya, One amesema album hiyo inatoka akiwa chini ya uongozi mpya. “Sasa hivi nina management […]

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu awataja mawaziri, wabunge walioomba fedha

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amewataja kwa majina mawaziri na wabunge aliosema bungeni kuwa wamekuwa ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani