DC Chamwino awataja waliokwapua michango ya maabara
MKUU wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Fatuma Ally amewataja watendaji waliokwapua takribani Sh milioni 6 za michango ya ujenzi wa maabara shule za sekondari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Oct
CHADEMA YAWATAKA WALIMU WASITOE MICHANGO YA MAABARA.
Pia Chama hicho kimewataka wafanyabiashara nao wasikubali kulazimishwa kuchangia michango hiyo kwa vile hilo ni jukumu la serikali kuhakikisha inatekeleza ahadi zake katika ujenzi wa maabara kama Chama Cha Mapinduzi kilivyo...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Matere wabamiza timu inayokusanya michango ya maabara
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP,Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
TIMU ya ukusanyaji michango kwa ajili ya ujenzi wa maabara kata ya Mwangeza wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,imeshambuliwa na kujeruhiwa vibaya na baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Matere kijiji cha Dominiki.
Timu hiyo iliyokuwa inaongozwa na afisa mtendaji kata ya Mwangeza,Halfa Mrisho,imekubana na dhahama hiyo ikiwa kazini, oktoba mosi mwaka huu majira ya mchana huko katika kitongoji cha Matere kijiji...
10 years ago
VijimamboBERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Warioba awataja wasaliti wa Nyerere
10 years ago
Bongo512 Dec
J.Cole awataja rappers watano anaowakubali
10 years ago
Bongo525 Nov
One the Incredible awataja maproducer walioshiriki kuipika R.A.P
11 years ago
Mwananchi26 May
Lissu awataja mawaziri, wabunge walioomba fedha
9 years ago
Bongo511 Dec
Roberto wa ‘Amarula’ awataja wasanii wa Tanzania aliofanya nao collabo
Hit maker wa ‘Amarula’, Roberto kutoka Zambia amewataja wasanii wa Tanzania ambao tayari amefanya nao kazi na ambao anatarajia kufanya nao collabo.
Roberto ambaye amekuja Tanzania kwaajili ya show leo Dec 11 jijini Dar, amesema amefanya collabo na Vanessa Mdee na wanatarajia kuitoa mwakani.
“Wimbo niliofanya na Vanessa umekamilika, sasa tunafanyia kazi mipango ya kuitoa unajua nina mheshimu Vanessa na muziki wake na yeye ananiheshimu pia hivyo tulikubaliana tusiitoe hivi hivi tu tuwe na...