Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Chamwino awataja waliokwapua michango ya maabara

Mkuu wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Fatuma Ally MKUU wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Fatuma Ally amewataja watendaji waliokwapua takribani Sh milioni 6 za michango ya ujenzi wa maabara shule za sekondari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA YAWATAKA WALIMU WASITOE MICHANGO YA MAABARA.

Na Mohab MatukioCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),kanda ya Ziwa Victoria Mashariki, kimewataka walimu katika mikoa ya Shinyanga,Simiyu na Mara wasikubali kuchangia shilingi 10,000 kutoka katika mishahara yao kwa ajili ya ujenzi wa maabara ya sekondari za kata.

Pia Chama hicho kimewataka wafanyabiashara nao wasikubali kulazimishwa kuchangia michango hiyo kwa vile hilo ni jukumu la serikali kuhakikisha inatekeleza ahadi zake katika ujenzi wa maabara kama Chama Cha Mapinduzi kilivyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matere wabamiza timu inayokusanya michango ya maabara

DSC00179111

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP,Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

TIMU ya ukusanyaji michango kwa ajili ya ujenzi wa maabara kata ya Mwangeza wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,imeshambuliwa na kujeruhiwa vibaya na baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Matere kijiji cha Dominiki.

Timu hiyo iliyokuwa inaongozwa na afisa mtendaji kata ya Mwangeza,Halfa Mrisho,imekubana na dhahama hiyo ikiwa kazini, oktoba mosi mwaka huu majira ya mchana huko katika kitongoji cha Matere kijiji...

 

10 years ago

Vijimambo

BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliofika kwenye viwanja vya Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino Ikulu, wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Picha zote na John Badi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara

Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awataja wasaliti wa Nyerere

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema wanasiasa wanaomtuhumu kwa kumsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, ndiyo wasaliti kwa kuwa waliingiza kwenye Katiba, mambo yanayokinzana na makubaliano ya Muungano huo.

 

10 years ago

Bongo5

J.Cole awataja rappers watano anaowakubali

J. Cole amewataja rappers watano anaowakubali zaidi wakati akiongea na Angie Martinez kwenye kituo cha redio cha Power 105.1 jana kupromote album yake mpya, 2014 Forest Hills Drive. Aliwataja rappers wa nne bila mpangilio maalum kuwa ni Tupac Shakur, Notorious B.I.G., Nas, na bosi wake wa Roc Nation, Jay Z. Hata hivyo alijikuta njia panda […]

 

10 years ago

Bongo5

One the Incredible awataja maproducer walioshiriki kuipika R.A.P

December 5, rapper One the Incredible anatarajia kuiachia album yake ya pili inayokwenda kwa jina la R.A.P ambayo ni kifupi cha ‘Representing Africa Popote’, ) Desemba 5 mwaka huu. Akiongea na kipindi cha Bomba Base Show cha Bomba FM ya Mbeya, One amesema album hiyo inatoka akiwa chini ya uongozi mpya. “Sasa hivi nina management […]

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu awataja mawaziri, wabunge walioomba fedha

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amewataja kwa majina mawaziri na wabunge aliosema bungeni kuwa wamekuwa ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii.

 

9 years ago

Bongo5

Roberto wa ‘Amarula’ awataja wasanii wa Tanzania aliofanya nao collabo

Roberto

Hit maker wa ‘Amarula’, Roberto kutoka Zambia amewataja wasanii wa Tanzania ambao tayari amefanya nao kazi na ambao anatarajia kufanya nao collabo.

Roberto

Roberto ambaye amekuja Tanzania kwaajili ya show leo Dec 11 jijini Dar, amesema amefanya collabo na Vanessa Mdee na wanatarajia kuitoa mwakani.

“Wimbo niliofanya na Vanessa umekamilika, sasa tunafanyia kazi mipango ya kuitoa unajua nina mheshimu Vanessa na muziki wake na yeye ananiheshimu pia hivyo tulikubaliana tusiitoe hivi hivi tu tuwe na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani