Matere wabamiza timu inayokusanya michango ya maabara
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP,Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
TIMU ya ukusanyaji michango kwa ajili ya ujenzi wa maabara kata ya Mwangeza wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,imeshambuliwa na kujeruhiwa vibaya na baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Matere kijiji cha Dominiki.
Timu hiyo iliyokuwa inaongozwa na afisa mtendaji kata ya Mwangeza,Halfa Mrisho,imekubana na dhahama hiyo ikiwa kazini, oktoba mosi mwaka huu majira ya mchana huko katika kitongoji cha Matere kijiji...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Jan
DC Chamwino awataja waliokwapua michango ya maabara
MKUU wa wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Fatuma Ally amewataja watendaji waliokwapua takribani Sh milioni 6 za michango ya ujenzi wa maabara shule za sekondari.
10 years ago
Vijimambo15 Oct
CHADEMA YAWATAKA WALIMU WASITOE MICHANGO YA MAABARA.
![](https://24tanzania.com/wp-content/uploads/2013/12/Chadema.png)
Pia Chama hicho kimewataka wafanyabiashara nao wasikubali kulazimishwa kuchangia michango hiyo kwa vile hilo ni jukumu la serikali kuhakikisha inatekeleza ahadi zake katika ujenzi wa maabara kama Chama Cha Mapinduzi kilivyo...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s72-c/unnamed.jpg)
TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1
![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VKGyuln3ZZ0/VVt0NY0RHRI/AAAAAAADnv0/8yE-Lbkopd4/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y23eP06eif0/VVtzqkm5S2I/AAAAAAADnu8/iAOTF8A8V0A/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_-RPV7OtOQo/VVtzukBiK5I/AAAAAAADnvE/qp-kH9kmR3g/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y4fzTTDcM0o/VVtzx5K4nlI/AAAAAAADnvM/2f5qVOxvxgM/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JGPyptHD2Do/VVtz16SVKBI/AAAAAAADnvU/R2zj2qSXNzc/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vi9doOien00/VVtz_6Xo9WI/AAAAAAADnvc/CiuBZs1Ljqw/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UhG8RudvJvk/VVt0E7dAMdI/AAAAAAADnvk/C8IS84IHxYU/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
MichuziTimu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yatinga hatua ya timu 16 SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiomba dua kabla ya mchezo wa hatua ya mtoano katika mashindano ya SHIMIWI uwanja wa Chuo Kikuu chaa Kilimo (SUA).
(Na Eleuteri Mangi – MAELEZO)
Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mikwaju ya penati 4 – 3.
Ushindi huo wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...