Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


J.Cole awataja rappers watano anaowakubali

J. Cole amewataja rappers watano anaowakubali zaidi wakati akiongea na Angie Martinez kwenye kituo cha redio cha Power 105.1 jana kupromote album yake mpya, 2014 Forest Hills Drive. Aliwataja rappers wa nne bila mpangilio maalum kuwa ni Tupac Shakur, Notorious B.I.G., Nas, na bosi wake wa Roc Nation, Jay Z. Hata hivyo alijikuta njia panda […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Msanii wa Nigeria Runtown awataja wasanii wawili wa Tanzania anaowakubali zaidi

Mwimbaji kutoka Nigeria, Runtown ametua jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo (Oct.9) tayari kulipamba jukwaa la fainali ya shindano la kusaka vipaji Bongo Star Search (BSS) itakayofanyika Ijumaa (Oct.9). Kama ambavyo wasanii wetu wanafuatilia kwa karibu muziki wa Nigeria, Runtown pia anafatilia muziki wa Bongo. Katika mahojiano mafupi na Fahamu Tv, Runtown amewataja […]

 

9 years ago

Bongo5

Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote

Timbaland amedai kuwa Tupac na Notorious B.I.G. ndio rappers bora wa muda wote. Producer huyo mahiri alisema hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ESPN cha First Take na kuulizwa ni rappers gani wakali kuwahi kutokea kwenye muziki wa hip hop. Pamoja na kuwataja rappers hao marehemu alimpa sifa zake pia Jay Z anayemchukulia kama kaka […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wanabongo Fleva wa 5 Anaowakubali Wema Sepetu, Diamond Namba Moja!

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu pamoja na kutengena na mpenzi wake Nassib Abdul ‘Diamond’ lakini alipoamua kutaja wasanii wanaofanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva mtaliki wake huyo kampa namba moja katika wasanii watano ambao yeye anaona wanafanya vizuri katika muziki.

“Muziki umeshika kasi na kuna wasanii ambao wanafanya vinzuri kuliko wengine, kwangu Top 5 yangu 1 Nassib, wa pili ni Ashley, Ali kiba, Barnaba na wa tano ni mirrow hawa ni wasanii wanzuri wapo level za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kingwendu Ataja Mastaa Anaowakubali Hapa Bongo, Atoa Sababu

Mkali wa kitambo kwenye sanaa ya vichekesho Kingwendu amepata nafasi ya kuongea na millardayo.com na kukubali kushare nasi mambo kadhaa ikiwemo mastaa wa Tanzania anaowakubali na sababu za kuwakubali.

List ya wakali wake kaanza nayo kwenye muziki  wa Bongo Fleva ambapo amesema ‘Kwa muziki kwanza namtaka Diamond namkubali pia Alikiba namkubali pia Rich Mavoko halafu kuna huyu dogo amedrop sasa hivi Tid nilikuwa naye Burundi miezi 3 tunapiga nae kazi namkubali sana wa tano ni huyu dogo...

 

9 years ago

Bongo5

Nakuja na project itakayowatikisa rappers wengi – Stamina

12237338_1516367548673634_1513271570_n

Stamina amedai kuwa atafunga mwaka kwa wimbo ‘Fundi Mistari’ ambao anaamini utawatikisa rappers wengi.

12237338_1516367548673634_1513271570_n

“Sitoi tena ngoma official kama nilivyosema ila kuna ile albamu itatoka wiki ijayo,” ameiambia Bongo5.

“Pia kuna project mpya nakujanayo ambayo itawateteresha marapa wengi sana. Hii project inaitwa ‘Fundi Mistari’. Kwahiyo ni kama mistari sita ambayo nimechana bila chorus na nitashoot kama kilinge halafu itatoka kwaajili ya watu wanaopenda muziki wangu,” ameongeza.

Jiunge na Bongo5.com...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini awashauri rappers wanaotumia style moja

joh makini

Joh Makini amesema huhakikisha kila wimbo anaoutoa unakuwa na style tofauti ili kutowachosha mashabiki.

Joh makini

Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Joh alisema hata msanii akiwa na mashairi mazuri vipi, anatakiwa kuzingatia jinsi ya kuwakilisha kazi yake.

“Sisi kitu ambacho tunafanya na ambacho tunaamini siku zote usiwe una-rap katika style ile ile moja since umeanza kutoka kwenye game,” alisema.

“Unaweza ukawa mwandishi mzuri sana, unaandika mashairi yanasisimua watu...

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer adai mashairi magumu yanawaponza rappers wengi

msodoki youngkiller

Young Killer amesema nyimbo nyingi za wasanii wa hip hop zimeshindwa kufanya vizuri kutokana na kuwa na mashairi magumu ambayo humwitaji msikilizaji kutumia muda mwingi katika kutafakari mashairi mpaka kuelewa.

msodoki youngkiller

Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa, hali hiyo inawafanya wasanii ambao walikuwa na style tofauti ya utunzi, kubadilika ili kwendana na mahitaji ya soko.

“Ngoma zenye mashairi mepesi ni rahisi sana kupenya kwa sababu huchukua muda mfupi shabiki kuishika na kulewa, wanaelewa kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awataja wasaliti wa Nyerere

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema wanasiasa wanaomtuhumu kwa kumsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, ndiyo wasaliti kwa kuwa waliingiza kwenye Katiba, mambo yanayokinzana na makubaliano ya Muungano huo.

 

9 years ago

Bongo5

Billboard wamwacha Tupac kwenye orodha yao ya ‘Greatest Rappers of All Time’

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Jarida la Billboard hivi karibuni lilitoa orodha yake ya wasanii 10 bora wa muda wote wa hip hop.

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Hata hivyo kwenye orodha hiyo Tupac hakuwemo na Snoop hajafurahia.

“This is so disrespectful. !! Whoever did this list need a swift kick in the Ass. No. Tupac. Come on cuz . Jus my opinion,”aliandika Snoop kwenye Instagram.

Hii ni orodha nzima.

1. Notorious B.I.G.
2.Jay Z
3.Eminem
4.Rakim
5.Nas
6.Andre 3000
7. Lauryn Hill
8. Ghostface Killah
9.Kendrick Lamar
10.Lil Wayne

Jiunge na Bongo5.com...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani