Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Billboard wamwacha Tupac kwenye orodha yao ya ‘Greatest Rappers of All Time’

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Jarida la Billboard hivi karibuni lilitoa orodha yake ya wasanii 10 bora wa muda wote wa hip hop.

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Hata hivyo kwenye orodha hiyo Tupac hakuwemo na Snoop hajafurahia.

“This is so disrespectful. !! Whoever did this list need a swift kick in the Ass. No. Tupac. Come on cuz . Jus my opinion,”aliandika Snoop kwenye Instagram.

Hii ni orodha nzima.

1. Notorious B.I.G.
2.Jay Z
3.Eminem
4.Rakim
5.Nas
6.Andre 3000
7. Lauryn Hill
8. Ghostface Killah
9.Kendrick Lamar
10.Lil Wayne

Jiunge na Bongo5.com...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote

Timbaland amedai kuwa Tupac na Notorious B.I.G. ndio rappers bora wa muda wote. Producer huyo mahiri alisema hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ESPN cha First Take na kuulizwa ni rappers gani wakali kuwahi kutokea kwenye muziki wa hip hop. Pamoja na kuwataja rappers hao marehemu alimpa sifa zake pia Jay Z anayemchukulia kama kaka […]

 

11 years ago

Bongo5

Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani

Jarida la muziki la Marekani, Billboard Magazine limeitaja album mpya na ya sita ya muimbaji wa Nigeria, 2face Idibia, ‘The ‘Ascension miongoni mwa album zilizouza zaidi wiki hii duniani. ‘The ‘Ascension ” imekamata nafasi ya 12 kwenye chart billboard. Mafanikio hayo yamepokelewa kwa furaha kubwa na mke wake Annie Macaulay-Idibia aliyetumia mtandao wa Instagram kuelezea […]

 

9 years ago

Mtanzania

Adele akimbiza kwenye chati za Billboard

Adele.NEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki nchini Uingereza, Adele Adkins, anamaliza mwaka kwa kushika nafasi ya kwanza katika chati za Billboard kwa wiki nne.

Katika chati hiyo kulikuwa na albamu 200 ambazo zilikuwa zinashindanishwa, lakini Adele amefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye ushindani huo kwa wiki nne.

Mkali huyo wa sauti amesema ni furaha kwake kuona kazi zake zikikubalika na idadi kubwa ya watu duniani na ndiyo maana ameweza kukaa kwa muda mrefu ambapo sio kawaida kutokana na...

 

9 years ago

Bongo5

Google watoa orodha yao ya ‘The 10 Most-Searched Song Lyrics of 2015’

adele5

Mtandao wa Google umetoa orodha yake ya nyimbo 10 ambazo mashahiri yake yameongoza kwa kutafutwa zaidi na watu kwenye mtandao huo mwaka huu ‘The Most ‘Googled’ Song Lyrics of 2015’.

adele5

Namba moja imekamatwa na Adele kupitia wimbo wake ‘Hello’ unaopatikana kwenye album yake ’25’.

Hii ndio orodha kamili:

1. Adele – Hello

2. Hozier – Take Me to Church

3. Taylor Swift – Blank Space

4. Mark Ronson featuring Bruno Mars – Uptown Funk

5. Ed Sheeran – Thinking Out Loud

6. Drake – Hotline Bling

7. Wiz...

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj avunja rekodi nyingine kwenye chati za Billboard

Single ya Nicki Minaj ’Only’ imefanikiwa kukamata nafasi ya kwanza kwenye Hot R&B/Hip-Hop Songs chart za Billboard, na kumfanya awe msanii wa kike aliyewahi kuwa na nyimbo nyingi zaidi zilizofika nafasi ya kwanza tokea chati hizo zianzishwe miaka 56 iliyopita. Nicki amevunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na Missy Elliot aliyekuwa na nyimbo tatu zilizokamata nafasi ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Drake awa msanii wa nne kuweka rekodi hii kwenye Billboard

Huu umekuwa mwaka mzuri kwa Drake. Aliachia mixtape ya ushirikiano na Future, What a Time To Be Alive na sasa amefikisha nyimbo 100 kwenye chart ya Billboard Hot 100 tangu aanze kufanya muziki miaka sita iliyopita. Rapper huyo anayetokea nchini Canada alikuwa na nyimbo 92 kabla ya mixtape yake kutoka Jumapili iliyopita ambapo nane kati […]

 

10 years ago

Bongo5

Album ya Drake na Future yakamata namba 1 kwenye Billboard 200 Chart

Album ya pamoja ya Drake na Future iliyotoka kwa kushitukiza, ‘What a Time to Be Alive’ imefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye chati ya Billboard 200. Hadi kufikia mwisho wa wiki ya Sept. 24, units 375,000 za album hiyo zilikuwa zimeuzwa, kwa mujibu wa Nielsen Music, kati ya hizo zikiwemo nakala 334,000 halisi za album. […]

 

10 years ago

Bongo5

Billboard na Dailymail zaripoti ushindi wa Diamond Platnumz kwenye tuzo za MTV EMA

Ushindi wa Diamond Platnumz kwenye tuzo za MTV EMA kwenye kipengele cha ‘Worldwide Act Africa/India’ umemuweka mwimbaji huyo wa ‘Nana’ katika level nyingine kabisa kimataifa. Picha za Diamond kwenye Red Carpet pamoja na jina lake kama mshindi wa kipengele hicho zimepewa nafasi kwenye mitandao mbalimbali mikubwa duniani ikiwemo Billboard.com ya Marekani pamoja na Dailymail.co.uk ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’

Sauti-Sols-Album-Cover

Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.

Sauti-Sols-Album-Cover

Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.

Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani