Billboard wamwacha Tupac kwenye orodha yao ya ‘Greatest Rappers of All Time’
Jarida la Billboard hivi karibuni lilitoa orodha yake ya wasanii 10 bora wa muda wote wa hip hop.
Hata hivyo kwenye orodha hiyo Tupac hakuwemo na Snoop hajafurahia.
“This is so disrespectful. !! Whoever did this list need a swift kick in the Ass. No. Tupac. Come on cuz . Jus my opinion,”aliandika Snoop kwenye Instagram.
Hii ni orodha nzima.
1. Notorious B.I.G.
2.Jay Z
3.Eminem
4.Rakim
5.Nas
6.Andre 3000
7. Lauryn Hill
8. Ghostface Killah
9.Kendrick Lamar
10.Lil Wayne
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Oct
Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote
11 years ago
Bongo503 Aug
Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Adele akimbiza kwenye chati za Billboard
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki nchini Uingereza, Adele Adkins, anamaliza mwaka kwa kushika nafasi ya kwanza katika chati za Billboard kwa wiki nne.
Katika chati hiyo kulikuwa na albamu 200 ambazo zilikuwa zinashindanishwa, lakini Adele amefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye ushindani huo kwa wiki nne.
Mkali huyo wa sauti amesema ni furaha kwake kuona kazi zake zikikubalika na idadi kubwa ya watu duniani na ndiyo maana ameweza kukaa kwa muda mrefu ambapo sio kawaida kutokana na...
9 years ago
Bongo521 Dec
Google watoa orodha yao ya ‘The 10 Most-Searched Song Lyrics of 2015’

Mtandao wa Google umetoa orodha yake ya nyimbo 10 ambazo mashahiri yake yameongoza kwa kutafutwa zaidi na watu kwenye mtandao huo mwaka huu ‘The Most ‘Googled’ Song Lyrics of 2015’.
Namba moja imekamatwa na Adele kupitia wimbo wake ‘Hello’ unaopatikana kwenye album yake ’25’.
Hii ndio orodha kamili:
1. Adele – Hello
2. Hozier – Take Me to Church
3. Taylor Swift – Blank Space
4. Mark Ronson featuring Bruno Mars – Uptown Funk
5. Ed Sheeran – Thinking Out Loud
6. Drake – Hotline Bling
7. Wiz...
10 years ago
Bongo520 Dec
Nicki Minaj avunja rekodi nyingine kwenye chati za Billboard
10 years ago
Bongo529 Sep
Drake awa msanii wa nne kuweka rekodi hii kwenye Billboard
10 years ago
Bongo528 Sep
Album ya Drake na Future yakamata namba 1 kwenye Billboard 200 Chart
10 years ago
Bongo527 Oct
Billboard na Dailymail zaripoti ushindi wa Diamond Platnumz kwenye tuzo za MTV EMA
9 years ago
Bongo518 Nov
Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’

Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.
Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.
Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...