Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nakuja na project itakayowatikisa rappers wengi – Stamina

12237338_1516367548673634_1513271570_n

Stamina amedai kuwa atafunga mwaka kwa wimbo ‘Fundi Mistari’ ambao anaamini utawatikisa rappers wengi.

12237338_1516367548673634_1513271570_n

“Sitoi tena ngoma official kama nilivyosema ila kuna ile albamu itatoka wiki ijayo,” ameiambia Bongo5.

“Pia kuna project mpya nakujanayo ambayo itawateteresha marapa wengi sana. Hii project inaitwa ‘Fundi Mistari’. Kwahiyo ni kama mistari sita ambayo nimechana bila chorus na nitashoot kama kilinge halafu itatoka kwaajili ya watu wanaopenda muziki wangu,” ameongeza.

Jiunge na Bongo5.com...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Young Killer adai mashairi magumu yanawaponza rappers wengi

msodoki youngkiller

Young Killer amesema nyimbo nyingi za wasanii wa hip hop zimeshindwa kufanya vizuri kutokana na kuwa na mashairi magumu ambayo humwitaji msikilizaji kutumia muda mwingi katika kutafakari mashairi mpaka kuelewa.

msodoki youngkiller

Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa, hali hiyo inawafanya wasanii ambao walikuwa na style tofauti ya utunzi, kubadilika ili kwendana na mahitaji ya soko.

“Ngoma zenye mashairi mepesi ni rahisi sana kupenya kwa sababu huchukua muda mfupi shabiki kuishika na kulewa, wanaelewa kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache

Rapper Stamina anaamini kuwa tasnia ya filamu nchini inashindwa kwenda mbele zaidi kutokana na waigizaji wengi kutokuwa na vipaji bali wanatafuta umaarufu na pesa. Stamina amesema anashindwa kukaa na kuangalia filamu za siku hizi kwakuwa zimekosa waigizaji mahiri. “Unajua kuangalia filamu kuna raha yake kama utakuta waigizaji ambao wanajua kazi yao. Sio o hawa wanaotafuta […]

 

11 years ago

GPL

YEMI: NAKUJA KUMTEKETEZA SHILOLE

MKALI wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade amesema yupo tayari kuja kumteketeza mkali wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ katika Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Mkali wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade. Akizungumza na Over The Weekend, kwa njia ya simu, Yemi ambaye ametokea kujizolea umaarufu mkubwa kupitia wimbo wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lucy Komba: Namimi Nakuja Kugombea Ubunge Songea

Staa wa Bongo Movies, Lucy Komba ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni ameonesha nia yake ya kurudi ya kuja kuwania ubunge. Lucy ameyaseme hayo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram ambapo alianza kwa kuwapongeza wasanii wenzake wote walioamua kujikita kwenye siasa.

“Msiseme wanawake tu semeni pia na wasanii tunaweza, hongereni wote wasanii mlioamua kujikita kwenye siasa na mimi nakuja huko kuchukua ubunge wa kwetu Songea”- Lucy ameandika.

Kila la kheri Lucy.

 

9 years ago

GPL

BAADA YA WAZIRI KUMUWEKEA NGUMU CHRIS BROWN: MSIJISUMBUE, NAKUJA KUFANYA SHOO

Mwanamuziki wa muziki wa RnB, Chris Brown. New York, Marekani MKALI wa muziki wenye mahadhi ya RnB, Chris Brown, ameibuka na kujibu zile taarifa zilizotoka kuwa kawekewa ngumu kwenda Australia kwa ajili ya kufanya shoo Desemba, mwaka huu kwa kusema: “Nakuja”. Mwishoni mwa wiki iliyopita kulikuwepo taarifa kwenye mitandao mbalimbali kuwa staa huyo wa Kibao cha Royal, amewekewa ngumu kwenda nchini humo kufanya shoo...

 

10 years ago

Bongo5

J.Cole awataja rappers watano anaowakubali

J. Cole amewataja rappers watano anaowakubali zaidi wakati akiongea na Angie Martinez kwenye kituo cha redio cha Power 105.1 jana kupromote album yake mpya, 2014 Forest Hills Drive. Aliwataja rappers wa nne bila mpangilio maalum kuwa ni Tupac Shakur, Notorious B.I.G., Nas, na bosi wake wa Roc Nation, Jay Z. Hata hivyo alijikuta njia panda […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini awashauri rappers wanaotumia style moja

joh makini

Joh Makini amesema huhakikisha kila wimbo anaoutoa unakuwa na style tofauti ili kutowachosha mashabiki.

Joh makini

Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Joh alisema hata msanii akiwa na mashairi mazuri vipi, anatakiwa kuzingatia jinsi ya kuwakilisha kazi yake.

“Sisi kitu ambacho tunafanya na ambacho tunaamini siku zote usiwe una-rap katika style ile ile moja since umeanza kutoka kwenye game,” alisema.

“Unaweza ukawa mwandishi mzuri sana, unaandika mashairi yanasisimua watu...

 

11 years ago

TheCitizen

Project management bad practices: Ubungo case in DART project

The project that aims at improving the very pathetic traffic jam situation in Dar es Salaam has arguably been among the greatest road projects in the city in modern times.

 

9 years ago

Bongo5

Billboard wamwacha Tupac kwenye orodha yao ya ‘Greatest Rappers of All Time’

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Jarida la Billboard hivi karibuni lilitoa orodha yake ya wasanii 10 bora wa muda wote wa hip hop.

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Hata hivyo kwenye orodha hiyo Tupac hakuwemo na Snoop hajafurahia.

“This is so disrespectful. !! Whoever did this list need a swift kick in the Ass. No. Tupac. Come on cuz . Jus my opinion,”aliandika Snoop kwenye Instagram.

Hii ni orodha nzima.

1. Notorious B.I.G.
2.Jay Z
3.Eminem
4.Rakim
5.Nas
6.Andre 3000
7. Lauryn Hill
8. Ghostface Killah
9.Kendrick Lamar
10.Lil Wayne

Jiunge na Bongo5.com...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani