Joh Makini awashauri rappers wanaotumia style moja
Joh Makini amesema huhakikisha kila wimbo anaoutoa unakuwa na style tofauti ili kutowachosha mashabiki.
Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Joh alisema hata msanii akiwa na mashairi mazuri vipi, anatakiwa kuzingatia jinsi ya kuwakilisha kazi yake.
“Sisi kitu ambacho tunafanya na ambacho tunaamini siku zote usiwe una-rap katika style ile ile moja since umeanza kutoka kwenye game,” alisema.
“Unaweza ukawa mwandishi mzuri sana, unaandika mashairi yanasisimua watu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Nov
Joh Makini awashauri waongozaji wa video wa Bongo kujituma zaidi
Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka waongozaji wa video wa ndani kujitahidi ili waende sambamba na waongozaji wa nje wanaofanya vizuri kwa sasa.
Joh Makini amekiambia kipindi cha Planet Bongo kinachoruka kupitia EATV kuwa, Tanzania imefika sehemu nzuri lakini waongozaji wanatakiwa kuongeza zaidi juhudi.
“Ni lazima tuhakikishe tunafika kwenye level ambayo tutakubalika dunia nzima,” alisema Joh.
“Mimi naamini tunaweza na tayari wameshaonesha njia kwa kufanya vizuri. Kikubwa ni...
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako
9 years ago
Bongo514 Nov
Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka
Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.
Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.
Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine
Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine
11 years ago
GPL25 Jun
10 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Joh Makini Ft. Gnako — XO
10 years ago
Jamtz.Com10 years ago
Bongo511 Dec
New Music: Joh Makini Ft G Nako — Xo
10 years ago
Africanjam.ComNEW MUSIC: DO IT - ROSSIE ft. JOH MAKINI (DOWNLOAD)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...