Joh Makini awashauri waongozaji wa video wa Bongo kujituma zaidi
Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka waongozaji wa video wa ndani kujitahidi ili waende sambamba na waongozaji wa nje wanaofanya vizuri kwa sasa.
Joh Makini amekiambia kipindi cha Planet Bongo kinachoruka kupitia EATV kuwa, Tanzania imefika sehemu nzuri lakini waongozaji wanatakiwa kuongeza zaidi juhudi.
“Ni lazima tuhakikishe tunafika kwenye level ambayo tutakubalika dunia nzima,” alisema Joh.
“Mimi naamini tunaweza na tayari wameshaonesha njia kwa kufanya vizuri. Kikubwa ni...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Joh Makini awashauri rappers wanaotumia style moja

Joh Makini amesema huhakikisha kila wimbo anaoutoa unakuwa na style tofauti ili kutowachosha mashabiki.
Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Joh alisema hata msanii akiwa na mashairi mazuri vipi, anatakiwa kuzingatia jinsi ya kuwakilisha kazi yake.
“Sisi kitu ambacho tunafanya na ambacho tunaamini siku zote usiwe una-rap katika style ile ile moja since umeanza kutoka kwenye game,” alisema.
“Unaweza ukawa mwandishi mzuri sana, unaandika mashairi yanasisimua watu...
10 years ago
Bongo530 Oct
Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje

9 years ago
Bongo521 Dec
Nisher anena haya kuhusiana na waongozaji wa video wa Bongo

Mshindi wa tuzo ya muongozaji wa video anayependwa katika Tuzo za Watu mwaka 2014, Nisher ametoa tathimini yake kuhusu hatua walizopiga waongozaji wa video wa ndani wakati yeye akiwa katika mapumziko.
Nisher amepongeza waongozaji wachanga kwa kudai ndio wamefanya kazi kubwa.
“Nawamwagia sifa nyingi sana madirector wachanga wote wa kwanza akiwa Khalfan akifuatiwa na Joowzey kwa ajili ya kazi kali mwaka huu,” Nisher ameiambia Bongo5.
“Nafurahi kuona watu wanaendeleza harakati zangu!. Hii...
11 years ago
CloudsFM25 Jun
JOH MAKINI: SWAHILI RAP NI BORA ZAIDI BARANI AFRIKA
Mkali wa ngoma ya ‘I See Me’ kutoka Weusi Kampuni, John Makini jana baada ya kuiachia ngoma yake hiyo, Joh Makini alifunguka kuwa rap za kiswahili ni nzuri sana kulinganisha na rap za lugha nyingine za barani Afrika.
5 years ago
Bongo514 Feb
Hanscana alia na copy & paste za waongozaji wa video za Bongo
Hanscana ambaye ni mmoja kati ya waongozaji wa video za muziki nchini ambao wanafanya vizuri, amelaani kitendo cha baadhi ya waongozaji wa video ambao wana-copy idea za nje na kuzileta ndani.
Hanscana akiwa na Eddy Kenzo
Muongozaji huyo amedai kutegemea kukopi vitu vya kutoka nje ya Bongo kama vile nchi za Afrika kusini ni kuua ajira za watu wengi wa Afrika Mashariki.
Hascana kupitia ukurasa wake Instagram amefungukia hayo akiwa ameweka picha yake na msanii Eddy Kenzo kutoka Uganda na kudai...
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: JOH MAKINI - DON'T BOTHER ft. AKA (Official Video)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Joh Makini Ft. Gnako — XO
10 years ago
Africanjam.Com
NEW VIDEO: JUX - LOOKING FOR YOU ft. JOH MAKINI (Official Video)

Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...