Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nisher anena haya kuhusiana na waongozaji wa video wa Bongo

Nisher tuzo

Mshindi wa tuzo ya muongozaji wa video anayependwa katika Tuzo za Watu mwaka 2014, Nisher ametoa tathimini yake kuhusu hatua walizopiga waongozaji wa video wa ndani wakati yeye akiwa katika mapumziko.

nisher intro

Nisher amepongeza waongozaji wachanga kwa kudai ndio wamefanya kazi kubwa.

“Nawamwagia sifa nyingi sana madirector wachanga wote wa kwanza akiwa Khalfan akifuatiwa na Joowzey kwa ajili ya kazi kali mwaka huu,” Nisher ameiambia Bongo5.

“Nafurahi kuona watu wanaendeleza harakati zangu!. Hii...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje

_K0A1374Belle 9 anadhani Tanzania ina waongozaji wakali na location za kuvutia kufanya video za muziki kiasi ambacho haoni sababu ya kusafiri kwenda kufanya video zake nje ya nchi.  Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo wake ‘Shauri Zao’ hivi karibuni, amesema uwezo wa waongozaji wa Tanzania akiwemo Hanscana unatosha kabisa kumpa video yenye ubora. Amesema kama […]

 

5 years ago

Bongo5

Hanscana alia na copy & paste za waongozaji wa video za Bongo

Hanscana ambaye ni mmoja kati ya waongozaji wa video za muziki nchini ambao wanafanya vizuri, amelaani kitendo cha baadhi ya waongozaji wa video ambao wana-copy idea za nje na kuzileta ndani.

Hanscana akiwa na Eddy Kenzo

Muongozaji huyo amedai kutegemea kukopi vitu vya kutoka nje ya Bongo kama vile nchi za Afrika kusini ni kuua ajira za watu wengi wa Afrika Mashariki.

Hascana kupitia ukurasa wake Instagram amefungukia hayo akiwa ameweka picha yake na msanii Eddy Kenzo kutoka Uganda na kudai...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini awashauri waongozaji wa video wa Bongo kujituma zaidi

joh makini

Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka waongozaji wa video wa ndani kujitahidi ili waende sambamba na waongozaji wa nje wanaofanya vizuri kwa sasa.

joh makini

Joh Makini amekiambia kipindi cha Planet Bongo kinachoruka kupitia EATV kuwa, Tanzania imefika sehemu nzuri lakini waongozaji wanatakiwa kuongeza zaidi juhudi.

“Ni lazima tuhakikishe tunafika kwenye level ambayo tutakubalika dunia nzima,” alisema Joh.

“Mimi naamini tunaweza na tayari wameshaonesha njia kwa kufanya vizuri. Kikubwa ni...

 

11 years ago

Bongo5

Ongezeko la wasanii kushoot video kutumia waongozaji wa nje; Tobo linalovuja kwenye muziki wa Bongo

Wiki za hivi karibuni kumekuwepo na mjadala mrefu kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wimbi la wasanii wa Tanzania kwenda kushoot video zao Kenya au Afrika Kusini au wengine kuwaleta waongozaji wa Kenya hususan Ogopa Videos, Enos Olik au Kevin Bosco Jr. Waongozaji wa video, Nisher na Adam Juma Ukweli ni kwamba hilo sio jambo […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Godzilla awafagilia waongozaji video

MSANII wa muziki wa kizazi kipya katika miondoko ya hip hop nchini, Tzee Godzilla, amesema bado ana imani kuwa waongozaji video wa Tanzania wana uwezo wa kufanya kazi nzuri, ingawa...

 

10 years ago

Bongo5

AY kushoot video ya ‘Zigo’ Zanzibar na director Nisher

AY ni miongoni mwa wasanii ambao wamekuwa wakifanya video zao nyingi nje ya Tanzania na madirector wa nje, lakini mwaka huu ameamua kufanya video ya single yake mpya hapa hapa nyumbani na director wa hapa. Ambwene Yessaya a.k.a AY amesema kuwa video ya wimbo wake mpya ‘Zigo’ itafanyika Zanzibar, na itaongozwa na director Nisher. Akizungumza […]

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol azungumzia ndoa na video mpya na Nisher

Ben Pol amesema kama Mungu akimjalia basi huenda akafunga ndoa na mpenzi wake Miss Tanzania namba mbili 2013, Latifa Mohamed. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa ukaribu alionao na Latifa unampa matumaini ya kudumu kwa uhusiano wao. “Tupo karibu sana, suala la ndoa sijui nisemeje lakini, kama mwanaume kamili tena kwa mila zetu nitaoa tu lakini, […]

 

10 years ago

Bongo5

Nisher: Video ya ’13’ ni tofauti, nimetumia sound effects zaidi ya 87

Muongozaji wa video za muziki, Nisher amesema video ya wimbo wa Young Killer ’13’ aliyomshirikish Fid Q ni video tofauti kuliko zote alizowahi kufanya. Nisher ambaye ni mshindi wa tuzo muongozaji wa video zinazopendwa katika Tuzo za Watu, ameandika kwenye Facebook: Utakapo Kua-unaitazama video hii Hakikisha unavitu vifuatavyo…Uwe na Speakers nzuri Zinazoweza kutafsiri Bass vizuri […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani