Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nisher: Video ya ’13’ ni tofauti, nimetumia sound effects zaidi ya 87

Muongozaji wa video za muziki, Nisher amesema video ya wimbo wa Young Killer ’13’ aliyomshirikish Fid Q ni video tofauti kuliko zote alizowahi kufanya. Nisher ambaye ni mshindi wa tuzo muongozaji wa video zinazopendwa katika Tuzo za Watu, ameandika kwenye Facebook: Utakapo Kua-unaitazama video hii Hakikisha unavitu vifuatavyo…Uwe na Speakers nzuri Zinazoweza kutafsiri Bass vizuri […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

AY kushoot video ya ‘Zigo’ Zanzibar na director Nisher

AY ni miongoni mwa wasanii ambao wamekuwa wakifanya video zao nyingi nje ya Tanzania na madirector wa nje, lakini mwaka huu ameamua kufanya video ya single yake mpya hapa hapa nyumbani na director wa hapa. Ambwene Yessaya a.k.a AY amesema kuwa video ya wimbo wake mpya ‘Zigo’ itafanyika Zanzibar, na itaongozwa na director Nisher. Akizungumza […]

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Researchers study Ebola side effects

Researchers are investigating whether male survivors of Ebola could still transmit the disease through sexual contact.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Sound Sultan Ft Olamide – Monsura

Sound-Sultan-ft-olamide

Video mpya ya msanii Sound Sultan amemshirikisha Olamide wimbo unaitwa “Monsura”, Video imetayarishwa na Capital hil.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Davido ft Uhuru + Dj Buckz- The Sound

Staa wa Nigeria, Davido ametoa video mpya ya wimbo aliowashirikisha Uhuru pamoja na Dj Buckz uitwao ‘The Sound’. Video imeongozwa na director Sesan wa Nigeria na kushutiwa Dubai. Hii ndio single ya kwanza kutoka kwa Davido kwa mwaka huu 2015. http://youtu.be/sVNPkCI-ytY

 

9 years ago

Bongo5

Nisher anena haya kuhusiana na waongozaji wa video wa Bongo

Nisher tuzo

Mshindi wa tuzo ya muongozaji wa video anayependwa katika Tuzo za Watu mwaka 2014, Nisher ametoa tathimini yake kuhusu hatua walizopiga waongozaji wa video wa ndani wakati yeye akiwa katika mapumziko.

nisher intro

Nisher amepongeza waongozaji wachanga kwa kudai ndio wamefanya kazi kubwa.

“Nawamwagia sifa nyingi sana madirector wachanga wote wa kwanza akiwa Khalfan akifuatiwa na Joowzey kwa ajili ya kazi kali mwaka huu,” Nisher ameiambia Bongo5.

“Nafurahi kuona watu wanaendeleza harakati zangu!. Hii...

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol azungumzia ndoa na video mpya na Nisher

Ben Pol amesema kama Mungu akimjalia basi huenda akafunga ndoa na mpenzi wake Miss Tanzania namba mbili 2013, Latifa Mohamed. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa ukaribu alionao na Latifa unampa matumaini ya kudumu kwa uhusiano wao. “Tupo karibu sana, suala la ndoa sijui nisemeje lakini, kama mwanaume kamili tena kwa mila zetu nitaoa tu lakini, […]

 

9 years ago

GPL

VIDEO ZA PSQUARE ZAPIGWA MARUFUKU SOUND CITY TV

KUNDI la muziki la Psquare la nchini Nigeria, lililo chini ya Peter na Paul Okoye,  liliwatangazia mashabiki wake kwamba kampuni ya Soundcity TV imeacha kupiga video zao za muziki. Uamuzi wa kampuni hiyo umetokana na kundi hilo la muziki kutokubali kushirikiana na kampuni hiyo katika ombi la kufanya onyesho mnamo Desemba 2014 hivyo kampuni hiyo kuacha kupiga nyimbo za wanamuziki hao tangu Januari 1, 2015. Ikielezea uamuzi huo,...

 

10 years ago

Bongo5

Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza

Kila kitu kikubwa huanzia kwenye hatua ya chini, kama ni msanii basi lazima utakuta wakati anaanza alifanya show nyingi za bure, kama ni producer wa muziki basi utakuta ametenegezea wasanii wengi mastaa nyimbo bure ili ajitangaze. Safari ya director wa video Nisher kutoka Arusha pia ilianzia katika hatua za kufanya video bure hadi sasa amefikia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani