Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Godzilla awafagilia waongozaji video

MSANII wa muziki wa kizazi kipya katika miondoko ya hip hop nchini, Tzee Godzilla, amesema bado ana imani kuwa waongozaji video wa Tanzania wana uwezo wa kufanya kazi nzuri, ingawa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje

_K0A1374Belle 9 anadhani Tanzania ina waongozaji wakali na location za kuvutia kufanya video za muziki kiasi ambacho haoni sababu ya kusafiri kwenda kufanya video zake nje ya nchi.  Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo wake ‘Shauri Zao’ hivi karibuni, amesema uwezo wa waongozaji wa Tanzania akiwemo Hanscana unatosha kabisa kumpa video yenye ubora. Amesema kama […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Godzilla wa Sengerema amuibukia Godzilla wa Salasala kwa madai ya kuibiwa jina

IMG_0860

Picha ni msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa anayemshutumu Godzilla wa Salasala kamwibia jina lake.

Na Daniel Makaka, Sengerema

Msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa, mwenye makazi yake kijiji cha Bupandwa Kata ya Bupandwa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ameibuka na kusema kuwa aliibiwa jina hilo  na msanii maarufu wa Hip Hop, kutoka Salasala,  Golden Mbunda  “ Godzilla”  ambaye msanii huyo anajiita hivyo.

Akizungumza na mwandishi...

 

9 years ago

Bongo5

Nisher anena haya kuhusiana na waongozaji wa video wa Bongo

Nisher tuzo

Mshindi wa tuzo ya muongozaji wa video anayependwa katika Tuzo za Watu mwaka 2014, Nisher ametoa tathimini yake kuhusu hatua walizopiga waongozaji wa video wa ndani wakati yeye akiwa katika mapumziko.

nisher intro

Nisher amepongeza waongozaji wachanga kwa kudai ndio wamefanya kazi kubwa.

“Nawamwagia sifa nyingi sana madirector wachanga wote wa kwanza akiwa Khalfan akifuatiwa na Joowzey kwa ajili ya kazi kali mwaka huu,” Nisher ameiambia Bongo5.

“Nafurahi kuona watu wanaendeleza harakati zangu!. Hii...

 

5 years ago

Bongo5

Hanscana alia na copy & paste za waongozaji wa video za Bongo

Hanscana ambaye ni mmoja kati ya waongozaji wa video za muziki nchini ambao wanafanya vizuri, amelaani kitendo cha baadhi ya waongozaji wa video ambao wana-copy idea za nje na kuzileta ndani.

Hanscana akiwa na Eddy Kenzo

Muongozaji huyo amedai kutegemea kukopi vitu vya kutoka nje ya Bongo kama vile nchi za Afrika kusini ni kuua ajira za watu wengi wa Afrika Mashariki.

Hascana kupitia ukurasa wake Instagram amefungukia hayo akiwa ameweka picha yake na msanii Eddy Kenzo kutoka Uganda na kudai...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini awashauri waongozaji wa video wa Bongo kujituma zaidi

joh makini

Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka waongozaji wa video wa ndani kujitahidi ili waende sambamba na waongozaji wa nje wanaofanya vizuri kwa sasa.

joh makini

Joh Makini amekiambia kipindi cha Planet Bongo kinachoruka kupitia EATV kuwa, Tanzania imefika sehemu nzuri lakini waongozaji wanatakiwa kuongeza zaidi juhudi.

“Ni lazima tuhakikishe tunafika kwenye level ambayo tutakubalika dunia nzima,” alisema Joh.

“Mimi naamini tunaweza na tayari wameshaonesha njia kwa kufanya vizuri. Kikubwa ni...

 

11 years ago

Bongo5

Ongezeko la wasanii kushoot video kutumia waongozaji wa nje; Tobo linalovuja kwenye muziki wa Bongo

Wiki za hivi karibuni kumekuwepo na mjadala mrefu kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wimbi la wasanii wa Tanzania kwenda kushoot video zao Kenya au Afrika Kusini au wengine kuwaleta waongozaji wa Kenya hususan Ogopa Videos, Enos Olik au Kevin Bosco Jr. Waongozaji wa video, Nisher na Adam Juma Ukweli ni kwamba hilo sio jambo […]

 

9 years ago

Bongo5

Godzilla aeleza kwanini video ya ‘Stay’ imechelewa kutoka

Godzilla amesema ameshindwa kufanya maandalizi ya video ya wimbo wake ‘Stay’ kutokana na watu wengi kuwa busy na masuala ya uchaguzi. Godzilla ameiambia Bongo5 kuwa mashabiki wengi wa muziki wameelekeza macho na masikio yao kwenye matokeo ya uchaguzi na hivyo kutokuwa na muda wa kufuatilia muziki kwa ukaribu. “Sasa hivi hata ukiupdate kitu unakuta respond […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rapper Gentriez azungumzia alivyowashirikisha Ben Pol na Godzilla

12224498_1632535297010151_1264875697_n

Mtazame rapper wa Arusha, Gentriez akiongelea kuwashirikisha Ben Pol na Godzilla kwenye wimbo wake mpya ‘Nimempata.’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha awafagilia Uhuru, Maguli

Kocha wa Zesco United ya Zambia, George Lwandamina ameichambua Simba akisema muunganiko wa winga Uhuru Selemani na mshambuliaji Elius Maguli ni hatari zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani