Hanscana alia na copy & paste za waongozaji wa video za Bongo
Hanscana ambaye ni mmoja kati ya waongozaji wa video za muziki nchini ambao wanafanya vizuri, amelaani kitendo cha baadhi ya waongozaji wa video ambao wana-copy idea za nje na kuzileta ndani.
Hanscana akiwa na Eddy Kenzo
Muongozaji huyo amedai kutegemea kukopi vitu vya kutoka nje ya Bongo kama vile nchi za Afrika kusini ni kuua ajira za watu wengi wa Afrika Mashariki.
Hascana kupitia ukurasa wake Instagram amefungukia hayo akiwa ameweka picha yake na msanii Eddy Kenzo kutoka Uganda na kudai...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Lamar alia na ‘copy and paste’
MTAYARISHAJI mahiri wa muziki wa Bongo flava anayemiliki studio ya Fish Crab, Gina Lamar, amesema muziki huo unapoteza mwelekeo kutokana na watayarishaji wengi kuiga midundo ya wenzao. Akizungumza jijini Dar...
10 years ago
Michuzi01 Nov
9 years ago
Bongo530 Oct
Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje
![_K0A1374](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/K0A1374-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo521 Dec
Nisher anena haya kuhusiana na waongozaji wa video wa Bongo
![Nisher tuzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nisher-tuzo-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo ya muongozaji wa video anayependwa katika Tuzo za Watu mwaka 2014, Nisher ametoa tathimini yake kuhusu hatua walizopiga waongozaji wa video wa ndani wakati yeye akiwa katika mapumziko.
Nisher amepongeza waongozaji wachanga kwa kudai ndio wamefanya kazi kubwa.
“Nawamwagia sifa nyingi sana madirector wachanga wote wa kwanza akiwa Khalfan akifuatiwa na Joowzey kwa ajili ya kazi kali mwaka huu,” Nisher ameiambia Bongo5.
“Nafurahi kuona watu wanaendeleza harakati zangu!. Hii...
9 years ago
Bongo525 Nov
Joh Makini awashauri waongozaji wa video wa Bongo kujituma zaidi
![joh makini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/joh-makini-300x194.jpg)
Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka waongozaji wa video wa ndani kujitahidi ili waende sambamba na waongozaji wa nje wanaofanya vizuri kwa sasa.
Joh Makini amekiambia kipindi cha Planet Bongo kinachoruka kupitia EATV kuwa, Tanzania imefika sehemu nzuri lakini waongozaji wanatakiwa kuongeza zaidi juhudi.
“Ni lazima tuhakikishe tunafika kwenye level ambayo tutakubalika dunia nzima,” alisema Joh.
“Mimi naamini tunaweza na tayari wameshaonesha njia kwa kufanya vizuri. Kikubwa ni...
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mzee wa Swaga: Zamaradi Amuumbua JB Kwaku-Copy na Ku-Paste!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu mkubwa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ hivi juzi kati amekumbana na kashfa nzito ya kugeza moja ya filamu ya kutoka India ‘Bollywood’.
Filamu ya JB inayokwenda kwa jina la Mzee wa Swaga ambayo inafanya vizuri sokon hivi sasa inadaiwa kuwa ni “Copy and Paste” ya filamu moja maarufu kutoka Bollywood inayofahamika kwa jina la "Ladies VS Ricky Bahl".
Akizungumza kupitia kipindi cha take one, Zamaradi Mketema amethibitisha usanii huo uliofanyika na kampuni...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-annqhxMkhkM/VaQKwKqn9II/AAAAAAADxyU/4UnA9Pci94o/s72-c/MMGL9634.jpg)
CHADEMA WAISHTUKIA CCM COPY AND PASTE YA FULANA ZAO
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/11739544_882044261842888_1257491123_n.jpg?oh=79fbd52a89efd2bcc998e5488ff686ca&oe=55A5C124)
![](http://3.bp.blogspot.com/-annqhxMkhkM/VaQKwKqn9II/AAAAAAADxyU/4UnA9Pci94o/s400/MMGL9634.jpg)
11 years ago
TheCitizen16 Jan
Can copy and paste gas policy profit Tanzanians, Africans?