Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hanscana alia na copy & paste za waongozaji wa video za Bongo

Hanscana ambaye ni mmoja kati ya waongozaji wa video za muziki nchini ambao wanafanya vizuri, amelaani kitendo cha baadhi ya waongozaji wa video ambao wana-copy idea za nje na kuzileta ndani.

Hanscana akiwa na Eddy Kenzo

Muongozaji huyo amedai kutegemea kukopi vitu vya kutoka nje ya Bongo kama vile nchi za Afrika kusini ni kuua ajira za watu wengi wa Afrika Mashariki.

Hascana kupitia ukurasa wake Instagram amefungukia hayo akiwa ameweka picha yake na msanii Eddy Kenzo kutoka Uganda na kudai...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Lamar alia na ‘copy and paste’

MTAYARISHAJI mahiri wa muziki wa Bongo flava anayemiliki studio ya Fish Crab, Gina Lamar, amesema muziki huo unapoteza mwelekeo kutokana na watayarishaji wengi kuiga midundo ya wenzao. Akizungumza jijini Dar...

 

10 years ago

Michuzi

COPY & PASTE YA TP OK JAZZ YA KILWA JAZZ ENZI HIZO

Ukimaliza wimbo huu sikiliza wa hapo chini....

 

9 years ago

Bongo5

Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje

_K0A1374Belle 9 anadhani Tanzania ina waongozaji wakali na location za kuvutia kufanya video za muziki kiasi ambacho haoni sababu ya kusafiri kwenda kufanya video zake nje ya nchi.  Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo wake ‘Shauri Zao’ hivi karibuni, amesema uwezo wa waongozaji wa Tanzania akiwemo Hanscana unatosha kabisa kumpa video yenye ubora. Amesema kama […]

 

9 years ago

Bongo5

Nisher anena haya kuhusiana na waongozaji wa video wa Bongo

Nisher tuzo

Mshindi wa tuzo ya muongozaji wa video anayependwa katika Tuzo za Watu mwaka 2014, Nisher ametoa tathimini yake kuhusu hatua walizopiga waongozaji wa video wa ndani wakati yeye akiwa katika mapumziko.

nisher intro

Nisher amepongeza waongozaji wachanga kwa kudai ndio wamefanya kazi kubwa.

“Nawamwagia sifa nyingi sana madirector wachanga wote wa kwanza akiwa Khalfan akifuatiwa na Joowzey kwa ajili ya kazi kali mwaka huu,” Nisher ameiambia Bongo5.

“Nafurahi kuona watu wanaendeleza harakati zangu!. Hii...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini awashauri waongozaji wa video wa Bongo kujituma zaidi

joh makini

Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka waongozaji wa video wa ndani kujitahidi ili waende sambamba na waongozaji wa nje wanaofanya vizuri kwa sasa.

joh makini

Joh Makini amekiambia kipindi cha Planet Bongo kinachoruka kupitia EATV kuwa, Tanzania imefika sehemu nzuri lakini waongozaji wanatakiwa kuongeza zaidi juhudi.

“Ni lazima tuhakikishe tunafika kwenye level ambayo tutakubalika dunia nzima,” alisema Joh.

“Mimi naamini tunaweza na tayari wameshaonesha njia kwa kufanya vizuri. Kikubwa ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee wa Swaga: Zamaradi Amuumbua JB Kwaku-Copy na Ku-Paste!!

Mwigizaji na mwongozaji wa filamu mkubwa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’  hivi juzi kati amekumbana na kashfa nzito ya kugeza moja ya filamu ya kutoka India ‘Bollywood’.

Filamu ya JB inayokwenda kwa jina la Mzee wa Swaga ambayo inafanya vizuri sokon hivi sasa inadaiwa kuwa ni “Copy and Paste” ya  filamu moja maarufu kutoka Bollywood inayofahamika kwa jina la "Ladies VS Ricky Bahl".

Akizungumza kupitia kipindi cha take one, Zamaradi Mketema amethibitisha usanii huo uliofanyika na kampuni...

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA WAISHTUKIA CCM COPY AND PASTE YA FULANA ZAO

"Jamaa wameishiwa sera hata ubunifu, wameamua kutuiga Tshirt , karibuni ccm mtajifunza mengi!" Hicho ndicho alichoandika Mhe. Peter Msigwa kwenye ukurasa wake wa facebook

 

11 years ago

TheCitizen

Can copy and paste gas policy profit Tanzanians, Africans?

First of all, let me congratulate Mr Ali Mufuruki for writing a powerful piece in The Citizen.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani