Lamar alia na ‘copy and paste’
MTAYARISHAJI mahiri wa muziki wa Bongo flava anayemiliki studio ya Fish Crab, Gina Lamar, amesema muziki huo unapoteza mwelekeo kutokana na watayarishaji wengi kuiga midundo ya wenzao. Akizungumza jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Hanscana alia na copy & paste za waongozaji wa video za Bongo
Hanscana ambaye ni mmoja kati ya waongozaji wa video za muziki nchini ambao wanafanya vizuri, amelaani kitendo cha baadhi ya waongozaji wa video ambao wana-copy idea za nje na kuzileta ndani.
Hanscana akiwa na Eddy Kenzo
Muongozaji huyo amedai kutegemea kukopi vitu vya kutoka nje ya Bongo kama vile nchi za Afrika kusini ni kuua ajira za watu wengi wa Afrika Mashariki.
Hascana kupitia ukurasa wake Instagram amefungukia hayo akiwa ameweka picha yake na msanii Eddy Kenzo kutoka Uganda na kudai...
11 years ago
TheCitizen16 Jan
Can copy and paste gas policy profit Tanzanians, Africans?
10 years ago
VijimamboCHADEMA WAISHTUKIA CCM COPY AND PASTE YA FULANA ZAO
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mzee wa Swaga: Zamaradi Amuumbua JB Kwaku-Copy na Ku-Paste!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu mkubwa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ hivi juzi kati amekumbana na kashfa nzito ya kugeza moja ya filamu ya kutoka India ‘Bollywood’.
Filamu ya JB inayokwenda kwa jina la Mzee wa Swaga ambayo inafanya vizuri sokon hivi sasa inadaiwa kuwa ni “Copy and Paste” ya filamu moja maarufu kutoka Bollywood inayofahamika kwa jina la "Ladies VS Ricky Bahl".
Akizungumza kupitia kipindi cha take one, Zamaradi Mketema amethibitisha usanii huo uliofanyika na kampuni...
5 years ago
Al Jazeera English20 Feb
Larry Tesler: Computer scientist behind 'cut-copy-paste' dies
5 years ago
GSMArena.Com14 Mar
Galaxy Z Flip and S20 series get cross-platform copy-paste with latest Windows Insider Preview build - GSMArena.com news
10 years ago
Michuzi01 Nov