Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchimbi aonya wabunge wenzake

BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba, wametaka wenzao kujitika katika mchakato wa mjadala wa rasimu ya Katiba mpya, itakayozingatia maslahi ya taifa na kuwanufaisha Watanzania badala kujitazama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kuondolewa Nchimbi , wenzake ni ajali kazini au...

Huenda safari ya kisiasa kama za waziri kwa Dk Emmanuel Nchimbi na wenzake watatu kuwa imekamilika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja aonya wabunge wa katiba

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba litakaloanza vikao vyake wiki ijayo wasiweke mbele masilahi ya vyama wanapoijadili rasimu...

 

11 years ago

Mwananchi

Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge

>Naibu Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia, January Makamba amesema wapo mawaziri wana maumbile ya kobe hata wacheze namna gani hawaonekani, huku akiwataka wabunge wenzake kuheshimiana badala ya kukejeliana na kukashifiana.

 

11 years ago

Habarileo

Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIO HOTUBA YA ZITTO ALIYOTAKA KUITOA BUNGENI YA KUWAAGA WABUNGE WENZAKE

Mh. Zitto Zuberi Kabwe Mbunge wa Kigoma Kaskazini
Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mkoa wa Kigoma.

Katika kudumu kwangu kama mbunge nililelewa na kukuzwa na chama cha siasa cha CHADEMA ambacho kupitia chama hiki niliingia Bungeni. Chama hiki kilinilea na kunikuza tangu nikiwa na umri wa miaka 16 na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Nchimbi aishukia Duwasa

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, ametoa wiki moja kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Dodoma (Duwasa), kung’oa mara moja mifumo ya maji isiyotakiwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Nchimbi kumrithi Mwigulu

MWELEKEO mpya wa mchakato wa Katiba mpya, adhabu kwa wagombea walioanza mbio za kusaka urais unatarajia unatarajia kujulikana leo baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati Kuu (CC), ya Chama...

 

11 years ago

GPL

YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…

 

10 years ago

Vijimambo

KUMBUKUMBU YA BIBI THEOPHILO NCHIMBI

FAMILIA YA DEOGRATIUS MICHAEL NCHIMBI YA KIMARA DAR ES SALAAM TANZANIAINAKUKUMBUKA MAMA KWA UPENDO WAKO MWINGI ULIOKUWA NAO HAWATAKUSAHU DAIMA WANAKUOMBEA:BWANA ALITOA NA BWANA ALITWAA JINA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE AMEEN

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani