Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja aonya wabunge wa katiba

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba litakaloanza vikao vyake wiki ijayo wasiweke mbele masilahi ya vyama wanapoijadili rasimu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.

 

11 years ago

Michuzi

SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA

Mmoja  kati ya  waumini  wa dini ya Kiislam  wa madhehebu ya Answaar Sunna iliyofanyika katika  uwanja  wa Mwembetogwa akitoka kuswali  Swala ys Idd leo katika  uwanja  wa Mwembetogwa  mjini  Iringa Sheikh Dhulkifilo Omari  kulia akiwa na baadhi ya  waumini mara baada ya  ibada  ya Idd el Fitr   leo katika  uwanja  wa Mwembetogwa  mjini  Iringa..............................................................................Na matukiodaimablog
Sheikh wa  msikiti  wa  Hidaya katika manispaa ya ...

 

11 years ago

Habarileo

Nchimbi aonya wabunge wenzake

BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba, wametaka wenzao kujitika katika mchakato wa mjadala wa rasimu ya Katiba mpya, itakayozingatia maslahi ya taifa na kuwanufaisha Watanzania badala kujitazama.

 

11 years ago

Mwananchi

Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge

>Naibu Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia, January Makamba amesema wapo mawaziri wana maumbile ya kobe hata wacheze namna gani hawaonekani, huku akiwataka wabunge wenzake kuheshimiana badala ya kukejeliana na kukashifiana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Katiba mpya itapatikana

MCHAKATO wa uundwaji wa katiba mpya katika siku za hivi karibuni umepata mtikisiko mkubwa baada ya baadhi ya wajumbe wanaounda Bunge Maalumu la Katiba kuamua kususia mchakato huo. Wajumbe hao...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja atetea mjadala wa Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema mjadala wa katiba mpya ni mjadala wenye tija kwa taifa na watanzania kwa ujumla. Ngeleja ambaye pia ni Mbunge wa Sengerema,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tutapata Katiba mpya salama

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amesema anaamini mchakato wa Katiba mpya utapatikana kwa amani na utulivu. Alisema licha ya baadhi ya wanasiasa kuanza kutoa...

 

11 years ago

Habarileo

Aonya wanaokwamisha mchakato wa katiba

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Rachel KassandaKIONGOZI wa mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kasanda amewataka wananchi kuwa makini na watu wanaotumia vibaya mchakato mpya wa Katiba ili kuepuka nchi kuingia kwenye vurugu huku akisisitiza Katiba isiwe chanzo cha kuvunjika kwa amani ya nchi.

 

11 years ago

Habarileo

Pengo aonya Bunge la Katiba

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali PengoASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kwa mara ya kwanza amezungumzia Bunge Maalum la Katiba na kuwaonya Wajumbe wa Bunge hilo kutowagawa Watanzania wakati wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani