Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja atetea mjadala wa Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema mjadala wa katiba mpya ni mjadala wenye tija kwa taifa na watanzania kwa ujumla. Ngeleja ambaye pia ni Mbunge wa Sengerema,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ngeleja: Mjadala wa katiba usiwe wa Serikali tatu tu

>Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na  Utawala, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wasijikite katika kujadili suala la muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano tu, bali waangalie pia masuala mengine yanayogusa masilahi ya nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MJADALA WA KATIBA MPYA: Asasi za kiraia kuelimisha jamii kwa kugawa CD, flash za Katiba

BAADA ya Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar na hatimaye Tanzania iliyotokana na muungano wa nchi hizo mwaka 1964, wananchi hawakuwahi kupewa fursa ya kushiriki katika utungaji wa Katiba ya nchi....

 

10 years ago

Dewji Blog

Bunge Maalum la Katiba laendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba

PIX 1

Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiingia ndani ya Bunge hilo leo 10 Septemba, 2014 kwa ajili ya kuendelea na mjadala wa Rasimu ya Katiba.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 10 Septemba, 2014 limeendelea na kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali Bungeni mjini Dodoma.

Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja masuala ya migogoro ya ardhi inayowahusisha wafugaji na wakulima, mambo ya Uraia pacha, haki ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kafulila atetea takwimu za Rasimu ya Katiba

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, David Kafulila jana alipangua hoja za wanaopinga takwimu zilizotumiwa kufikia kuandaa Rasimu ya Katiba, akihoji idadi ya waliopendekeza serikali tatu dhidi ya wajumbe wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Katiba mpya itapatikana

MCHAKATO wa uundwaji wa katiba mpya katika siku za hivi karibuni umepata mtikisiko mkubwa baada ya baadhi ya wajumbe wanaounda Bunge Maalumu la Katiba kuamua kususia mchakato huo. Wajumbe hao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja aonya wabunge wa katiba

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba litakaloanza vikao vyake wiki ijayo wasiweke mbele masilahi ya vyama wanapoijadili rasimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tutapata Katiba mpya salama

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amesema anaamini mchakato wa Katiba mpya utapatikana kwa amani na utulivu. Alisema licha ya baadhi ya wanasiasa kuanza kutoa...

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Mjadala Bunge la Katiba ni mwafaka

Rais Jakaya Kikwete amesema hana wasiwasi na hali ya mjadala mkali uliotawala Bunge Maalumu la Katiba kwa sababu ni muhimu kwa mjadala kuhusu Katiba Mpya ukawa wa kina ili kuweza kupata Katiba bora kwa Watanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjadala Bunge zima la Katiba waanza

Kamati za Bunge la Katiba zitawasilisha sura moja baada ya nyingine kwenye Bunge zima kuanzia leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani