Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja: Mjadala wa katiba usiwe wa Serikali tatu tu

>Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na  Utawala, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wasijikite katika kujadili suala la muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano tu, bali waangalie pia masuala mengine yanayogusa masilahi ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja atetea mjadala wa Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema mjadala wa katiba mpya ni mjadala wenye tija kwa taifa na watanzania kwa ujumla. Ngeleja ambaye pia ni Mbunge wa Sengerema,...

 

11 years ago

Mwananchi

Msigallah: Mjadala usiwe wa Muungano pekee

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Fredrick Msigallah amewataka wajumbe wenzake kuacha kujikita katika kujadili masuala ya muundo wa Muungano pekee katika mchakato wa kutunga Katiba mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CUF yasisitiza serikali tatu Katiba mpya

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitatetea maoni ya wananchi waliyoyatoa wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipokusanya maoni ya rasimu ya Katiba mpya ya kutaka serikali tatu. Hayo yalisemwa juzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli:Serikali tatu ilikuwa suluhisho la katiba

Mbunge wa Kahama, James Lembeli anatoka chama tawala (CCM), lakini msimamo wake kwenye mchakato wa Katiba ulikuwa tofauti na makada wenzake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzimu wa serikali tatu bado walitesa Bunge la Katiba

 Mfumo wa muundo wa Muungano wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba umeendelea kuwa mzigo kwa Bunge la Katiba kutokana kuwapo kwa msigano mkubwa miongoni mwa wajumbe, licha ya wengi wao kuwa makada wa CCM.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu au mbili zipo hata sasa ndani ya Katiba

Reading, Uingereza. Katiba, katiba katiba. Huu ndiyo wimbo ulioko katika midomo ya Watanzania walio wengi. Na ni kati ya kitu ambacho kimeonekana kuwaweka Watanzania pamoja kuliko kitu kingine nilichowahi kusikia. 

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]

Serikali ya Muungano iliyopendekezwa na Rasimu ya Pili ya Katiba yaweza kujiendesha kwa kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato.

 

11 years ago

Mwananchi

Uwenyekiti Bunge la Katiba usiwe wa majaribio

Hata kabla Bunge Maalumu la Katiba halijamaliza kazi ya kujadili na kupitisha kanuni zitakazoendesha shughuli za Bunge hilo, zimeanza kuwapo dalili kwamba huenda mwenyekiti atakayeliongoza Bunge hilo atachaguliwa kwa kauli moja na makundi yote yanayounda Bunge hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani