Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msigallah: Mjadala usiwe wa Muungano pekee

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Fredrick Msigallah amewataka wajumbe wenzake kuacha kujikita katika kujadili masuala ya muundo wa Muungano pekee katika mchakato wa kutunga Katiba mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ngeleja: Mjadala wa katiba usiwe wa Serikali tatu tu

>Mwenyekiti Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na  Utawala, William Ngeleja, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wasijikite katika kujadili suala la muundo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano tu, bali waangalie pia masuala mengine yanayogusa masilahi ya nchi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda akitetea na Mjumbe wa Bunge la Katiba, Frederick Msigallah mjini Dodoma

PG4A8718

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Mjumbe wa Bunge la Katiba, Frederick Msigallah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Agosti 5, 2014. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu).

 

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Mabeste — Usiwe Bubu

Rapper Mabeste ameachia ngoma mpya iitwayo ‘Usiwe Bubu’ anayowataka wazazi kutonyamazia masuala mbalimbali yanayotokea kwenye familia zao. Usikilize hapa.

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Mabeste — Usiwe Bubu

Rapper Mabeste ameachia rasmi video yake mpya ya ‘Usiwe Bubu’ weekend iliyopita. Story ya video hii imewahusisha watu wawili tu ambao ni Mabeste na video model ambaye kwenye maisha ya kawaida ni mchumba na mama wa mtoto wa Mabeste aitwaye Lisa. Video imeongozwa na AJ. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter […]

 

9 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Urais usiwe siri, sio jando

MWANZONI mwa mwaka 1995, Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere alishangazwa na tabia ya wanaoutaka urais kutopenda kujiweka wazi ili wananchi wawaelewe. Eti kila alipouliza ni kina nani wanautaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Uwenyekiti Bunge la Katiba usiwe wa majaribio

Hata kabla Bunge Maalumu la Katiba halijamaliza kazi ya kujadili na kupitisha kanuni zitakazoendesha shughuli za Bunge hilo, zimeanza kuwapo dalili kwamba huenda mwenyekiti atakayeliongoza Bunge hilo atachaguliwa kwa kauli moja na makundi yote yanayounda Bunge hilo

 

11 years ago

BBCSwahili

Chunga usiwe mwathiriwa wa mapenzi mitandaoni

Polisi nchini Ufilipino, wamewakamata washukiwa wa uhalifu katika mitandao ambao ni sehemu ya kikundi cha watu wanaowahadaa watu kwa njia ya mapenzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Uzuri, umaarufu usiwe sababu ya kubweteka

Ni jambo la kawaida kwa wasichana warembo kushindwa kufanya shughuli za kuwaingizia kipato wakiamini kuwa mwonekano wao hauendani na shughuli hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani