Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzuri, umaarufu usiwe sababu ya kubweteka

Ni jambo la kawaida kwa wasichana warembo kushindwa kufanya shughuli za kuwaingizia kipato wakiamini kuwa mwonekano wao hauendani na shughuli hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ulemavu si sababu ya kubweteka

Pamoja na changamoto ya ulemavu, walemavu wana nafasi ya kujishughulisha kujipatia riziki

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Watakiwa kuacha kubweteka, wafanye kazi


NA PRISCA MSHUMBUSI, MWANZA
WAKAZI wa kata ya Mbugani jijini Mwanza, wametakiwa kujitolea ili kujiletea maendeleo badala ya kusubiri kufanyiwa kila kitu na serikali.
Wito huo ulitolewa jana na Mwenyekiti wa
Mtaa wa Mabatini Kaskazini, Ntobi Boniface, alipozungumza na  waandishi wa habari ofisini kwake, ambapo alisema kujituma huleta maendeleo katika jamii.
Alisema kuwepo changamoto hususan katika utengezaji wa barabara za mitaa, ujenzi wa maabara na miradi mingine ya maendeleo, ni kikwazo kwa...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Mabeste — Usiwe Bubu

Rapper Mabeste ameachia ngoma mpya iitwayo ‘Usiwe Bubu’ anayowataka wazazi kutonyamazia masuala mbalimbali yanayotokea kwenye familia zao. Usikilize hapa.

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Mabeste — Usiwe Bubu

Rapper Mabeste ameachia rasmi video yake mpya ya ‘Usiwe Bubu’ weekend iliyopita. Story ya video hii imewahusisha watu wawili tu ambao ni Mabeste na video model ambaye kwenye maisha ya kawaida ni mchumba na mama wa mtoto wa Mabeste aitwaye Lisa. Video imeongozwa na AJ. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter […]

 

11 years ago

Mwananchi

Uwenyekiti Bunge la Katiba usiwe wa majaribio

Hata kabla Bunge Maalumu la Katiba halijamaliza kazi ya kujadili na kupitisha kanuni zitakazoendesha shughuli za Bunge hilo, zimeanza kuwapo dalili kwamba huenda mwenyekiti atakayeliongoza Bunge hilo atachaguliwa kwa kauli moja na makundi yote yanayounda Bunge hilo

 

9 years ago

Mtanzania

Mabeste na mkewe kwenye ‘Usiwe Bubu’

MabesteNA SHARIFA MMASI

MSANII wa hip hop nchini, William Ngwi ‘Mabeste’, anatarajiwa kuachia wimbo mpya alioimba peke yake utakaotamba kwa jina la ‘Usiwe Bubu’.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mabeste alisema lengo la wimbo huo ni kuelimisha jamii kuwa na desturi ya kuweka mambo wazi ili kupata ufumbuzi utakaowatatulia matatizo.

“Niko njiani kuachia ngoma mpya itakayosikika masikioni mwa mashabiki kwa jina la ‘Usiwe Bubu’ ambayo nimeimba bila kumshirikisha mtu.

“Natoa wito kwa mashabiki wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chunga usiwe mwathiriwa wa mapenzi mitandaoni

Polisi nchini Ufilipino, wamewakamata washukiwa wa uhalifu katika mitandao ambao ni sehemu ya kikundi cha watu wanaowahadaa watu kwa njia ya mapenzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Urais usiwe siri, sio jando

MWANZONI mwa mwaka 1995, Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere alishangazwa na tabia ya wanaoutaka urais kutopenda kujiweka wazi ili wananchi wawaelewe. Eti kila alipouliza ni kina nani wanautaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Msigallah: Mjadala usiwe wa Muungano pekee

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Fredrick Msigallah amewataka wajumbe wenzake kuacha kujikita katika kujadili masuala ya muundo wa Muungano pekee katika mchakato wa kutunga Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani