Urais usiwe siri, sio jando
MWANZONI mwa mwaka 1995, Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere alishangazwa na tabia ya wanaoutaka urais kutopenda kujiweka wazi ili wananchi wawaelewe. Eti kila alipouliza ni kina nani wanautaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Dec
Music: Mb Dog – Sio Siri
![eeee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/eeee-300x194.jpg)
Msanii Mb Dog ambaye kwa kipindi cha nyuma alifanya vizuri na ngoma kama Latifa,Mapenzi kitu gani,Inamaana na zingine amechia single yake mpya inaitwa “Sio Siri”, Isikilize hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Michuzi16 Dec
10 years ago
Bongo Movies25 Apr
Sio Siri tena: Nay wa Mitego, Shamsa Mke na Mume!
Mara baada ya kuelezwa kwamba wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi huku wenyewe wakidanganya wana ‘projekti’, hatimaye majirani wamefichua kuwa mwigizaji Shamsa Ford na mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay’, sasa wanaishi kama mke na mume.
Baada ya kutonywa ‘mchapo’ huo, gazeti la Risasi liliwadamkia nyumbani kwa Nay maeneo ya Kimara-Korogwe jijini Dar na kumkuta Shamsa akiwa na kanga moja.Mwanahabari wetu, baada ya kufika nyumbani hapo mishale ya asubuhi alikuwa bega kwa bega kuwafuatilia...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tFAcxdKi28I/VLzkEEi2SMI/AAAAAAAAmvU/X594247WL4Q/s72-c/tansania1.iso_.jpg)
Mh. January Makamba, Urais Sio Sawa na Kucheza Filamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-tFAcxdKi28I/VLzkEEi2SMI/AAAAAAAAmvU/X594247WL4Q/s640/tansania1.iso_.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Jun
Wassira aeleza siri foleni ya urais CCM
MGOMBEA wa nafasi ya urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wassira amesema kujitokeza kwa idadi kubwa ya wanaoomba nafasi hiyo kwa tiketi ya chama hicho inatokana na ukubwa wa CCM, ambayo ina hazina kubwa ya viongozi.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s72-c/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
Siri Imefichuka:Rais Kikwete “Abariki” Mbio za Urais wa Lowassa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s1600/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
SIRI imefichuka. Mbio za Edward Lowassa, kusaka urais kwa udi na uvumba, zimebarikiwa kwa asilimia 100 na Rais Jakaya Kikwete.Lowassa amekutana na Kikwete mara kadhaa na kufunga makubaliano ya siri yanayolenga kumsaidia yeye kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Yote yanayofanywa na Edward (Lowassa), yamebarikiwa na Kikwete. Bila hivyo, Lowassa asingekuwa na ubavu wa kufanya anachokitenda,” ameeleza kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya serikali.Kikwete ndiye Mwenyekiti wa Taifa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Bongo505 Oct
New Video: Mabeste — Usiwe Bubu
10 years ago
Bongo522 Jan
New Music: Mabeste — Usiwe Bubu