Siri Imefichuka:Rais Kikwete “Abariki” Mbio za Urais wa Lowassa

SIRI imefichuka. Mbio za Edward Lowassa, kusaka urais kwa udi na uvumba, zimebarikiwa kwa asilimia 100 na Rais Jakaya Kikwete.Lowassa amekutana na Kikwete mara kadhaa na kufunga makubaliano ya siri yanayolenga kumsaidia yeye kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Yote yanayofanywa na Edward (Lowassa), yamebarikiwa na Kikwete. Bila hivyo, Lowassa asingekuwa na ubavu wa kufanya anachokitenda,” ameeleza kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya serikali.Kikwete ndiye Mwenyekiti wa Taifa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Feb
Wabunge wambeba Lowassa mbio urais

Hali hiyo inajitokeza wakati wa Mkutano wa Bunge wa 18 ukihitimishwa mwishoni mwa wiki na kubakia miwili tu Bunge la 10 kufikia tamati, hivyo...
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete atoa hotuba Kilele cha Mbio za Mwenge Mkoani Tabora


11 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE MKOANI TABORA
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Rais Kikwete afichua siri kuhusu Mandela
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Rais Kikwete awasili leo na siri nzito
10 years ago
VijimamboHOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
10 years ago
Vijimambo
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS


5 years ago
Michuzi
LOWASSA NA MKEWE WAMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUTETEA KITI CHAKE CHA URAIS

