Wassira aeleza siri foleni ya urais CCM
MGOMBEA wa nafasi ya urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wassira amesema kujitokeza kwa idadi kubwa ya wanaoomba nafasi hiyo kwa tiketi ya chama hicho inatokana na ukubwa wa CCM, ambayo ina hazina kubwa ya viongozi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Diamond aeleza siri ya mafanikio
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ amesema mafanikio yake yanatokana na kujituma kwa kiwango kikubwa na jinsi anavyojua kuishi vizuri na watu hasa mashabiki wake...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Wassira acharukia wataka urais
10 years ago
Habarileo13 Jun
Pinda aunga foleni ya wasaka urais
WAZIRI Mkuu jana amejitosa rasmi kuchukua fomu na kuingia katika kinyang’anyiro cha kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wassira: Bado nina dhamira ya urais
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. Kauli hiyo, aliitoa jana wakati akifanya mahojiano kwenye...
10 years ago
Habarileo01 Jun
Mwigulu na Wassira wakoleza mbio za Urais
MAKADA wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba na Stephen Wassira wametangaza rasmi nia yao ya kutaka kuwania kupitishwa na chama hicho, kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Honeymoon aeleza siri ya tuzo zake za ZIFF
JULIET MORI NA LETICIA BWIRE (TUDARCO)
MSHINDI wa tuzo mbili za kimataifa za filamu alizozipata katika Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), Honeymoon Mohammed, amesema filamu bora inatokana na uandishi wa muswada (script), mandhari nzuri pamoja na uwezo wa msanii husika.
Tuzo hizo alizopata kutokana na filamu yake ya ‘Daddy’s Wedding’ ni filamu yenye picha bora na mwongozaji bora wa filamu.
Akizungumza katika mkutano ulioandaliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) jana,...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.
10 years ago
Habarileo29 May
Wassira: Nitatangaza kuwania urais keshokutwa Mwanza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema keshokutwa atatangaza rasmi nia yake ya kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimteue kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-u2SNRmXakuI/VW7RgzmyBII/AAAAAAAAeck/IYznAmnXQfw/s72-c/1.jpg)
MH.WASSIRA ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2SNRmXakuI/VW7RgzmyBII/AAAAAAAAeck/IYznAmnXQfw/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2aW72f9Gpno/VW7RhaUs_0I/AAAAAAAAecg/sO5j4tVu0p0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-efnyqPI-2SU/VW7RhpUA-SI/AAAAAAAAecs/czu-Qtigrxg/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EUKT9YN5Tlo/VW7RkPAehKI/AAAAAAAAec4/j1fLHIYpdCo/s640/4.jpg)
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen...