Honeymoon aeleza siri ya tuzo zake za ZIFF
JULIET MORI NA LETICIA BWIRE (TUDARCO)
MSHINDI wa tuzo mbili za kimataifa za filamu alizozipata katika Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), Honeymoon Mohammed, amesema filamu bora inatokana na uandishi wa muswada (script), mandhari nzuri pamoja na uwezo wa msanii husika.
Tuzo hizo alizopata kutokana na filamu yake ya ‘Daddy’s Wedding’ ni filamu yenye picha bora na mwongozaji bora wa filamu.
Akizungumza katika mkutano ulioandaliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) jana,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Oct
Diamond aeleza kwanini ‘alidedicate’ tuzo zake za Afrimma kwa Tiffah
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*Z0iDsH*EVMrorcBnLIZzFF1VnNB3PF0GydrOY98zFvgUc*w*Qs7aEC8C1itrpAekk-es7ossqalCxCM4AlhxI/b.jpg)
TUZO ZA ZIFF: FILAMU YA SHAHADA NA SHIKAMOO MZEE ZAIBUKA NA TUZO
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Diamond aeleza siri ya mafanikio
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ amesema mafanikio yake yanatokana na kujituma kwa kiwango kikubwa na jinsi anavyojua kuishi vizuri na watu hasa mashabiki wake...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Ngeleja aeleza siri ya ushindi wake Sengerema
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja aliyeibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni dhidi ya wagombea wenzake akiwamo aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, amesema ushindi wake ni kielelezo kuwa ametekeleza vizuri Ilani ya Uchaguzi ya CCM kuanzia mwaka 2010.
10 years ago
Habarileo23 Jun
Wassira aeleza siri foleni ya urais CCM
MGOMBEA wa nafasi ya urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wassira amesema kujitokeza kwa idadi kubwa ya wanaoomba nafasi hiyo kwa tiketi ya chama hicho inatokana na ukubwa wa CCM, ambayo ina hazina kubwa ya viongozi.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Andre Schurrle aeleza hisia zake
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Shahidi aeleza Sheikh Ponda alivyorekodiwa kwa siri
9 years ago
Bongo504 Dec
Steve RnB aeleza siri ya kudumu kwenye bendi ya Inafrika
![Steve Rnb](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Steve-Rnb--300x194.png)
Steve RnB ni muimbaji ambaye amedumu kwenye bendi ya Inafrika kwa muda mrefu, huku akiendelea kutoa kazi zake za binafsi. Ameelezea nafasi aliyopewa kwenye bendi hiyo na kumfanya adumu nayo kwa muda mrefu.
“Nilivyoingia Inafrika yaani pale mimi sikukaribishwa kama mtu amekuja kutembea, mimi nilifika pale nimepewa kama nafasi kwamba you’re a lead singer yaani hiyo ndio nafasi yangu.” Alisema Steve kupitia XXL ya Clouds Fm. “Tuko watu saba na kila mtu ana kazi ya kufanya….So pale Inafrika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k7T1dgUl1FaUrYffK49q*Ko93PJcj73QljORVTBKUidMRORyJqbXjd6QSgjHRUGemSIR-ptKSqZSaMjbnwsqO-O/davidop1602x903.jpg?width=650)
DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE