Mh. January Makamba, Urais Sio Sawa na Kucheza Filamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-tFAcxdKi28I/VLzkEEi2SMI/AAAAAAAAmvU/X594247WL4Q/s72-c/tansania1.iso_.jpg)
Wanajamvini,Nawasalimu.Nimelazimika kuanza na hiyo kauli hapo juu kutokana na unyeti wa habari yenyewe.Nitakuwa namwendelezo wa kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayoikabili Tanzaniakwa kutumia mifano hai na kumbukumbu rasmi zilizopo Tanzania.“Ni bora Simba wakali mia moja walioko Nje kuliko nyoka mdogo mmoja aliye ndani [“Godbless JonathanLema]. Haya maneno aliwahi kuyatoa Mbunge Lema, nayafananisha na kijitabualichokitoa Mh. January Makamba. Namheshimu sana [ Hata yeye anajua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
January Makamba, Zitto waungana urais
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TmOBoStEv1Q/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
January Makamba atangaza kugombea Urais 2015.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
*Nape asema hakufanya makosa
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.
Makamba, mmoja wa makada wa CCM walioonywa na chama hicho baada ya kutuhumiwa kuanza kampeni mapema, alijipigia debe kuwa iwapo atapitishwa...
10 years ago
MichuziJANUARY MAKAMBA ALIPOTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cmUlHu3AfEA/VUiaNTXAcQI/AAAAAAABfps/iGavWNhRpVA/s72-c/20150505030336%2B(1).jpg)
Bumbuli wampokea January Makamba kishujaa; Wambariki Urais.
![](http://1.bp.blogspot.com/-cmUlHu3AfEA/VUiaNTXAcQI/AAAAAAABfps/iGavWNhRpVA/s640/20150505030336%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EcX-GD0qCbI/VUiaO5NIr_I/AAAAAAABfp4/5mEIFyc8GIc/s640/20150505030336.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bm0K1S6olOk/VUiaO-SaWqI/AAAAAAABfp0/Hn9X0HM434U/s640/20150505031914.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jkU3kh2x8oU/VUiaPz9glwI/AAAAAAABfqA/Syuu1SZTaj0/s640/20150505031947.jpg)
Wakazi mbalimbali wa Jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto, Mkoani Tanga wamesema kuwa wapo tayari kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo, January Makamba kama ataamua kuwania nafasi ya kuwa mgombea wa...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mzee Makamba atangaza kumnadi January urais 2015
11 years ago
Michuzi04 Jul
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
VITA YA URAIS 2015: Sumaye amvaa January Makamba
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya...
10 years ago
GPLJANUARY MAKAMBA ATANGAZA NIA YA URAIS, ATOA VIPAUMBELE VYAKE 5