January Makamba, Zitto waungana urais
>Uamuzi wa mwanasiasa kijana, January Makamba wa kutaka kuwania urais, umezidi kukoleza mijadala ya kisiasa katika mitandao ya kijamii na kuibua hoja zinazokinzana kuhusu ujana na uzoefu wa uongozi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJANUARY MAKAMBA ALIPOTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TmOBoStEv1Q/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
January Makamba atangaza kugombea Urais 2015.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
*Nape asema hakufanya makosa
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.
Makamba, mmoja wa makada wa CCM walioonywa na chama hicho baada ya kutuhumiwa kuanza kampeni mapema, alijipigia debe kuwa iwapo atapitishwa...
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Zitto, Mwigulu waungana urais 2015
Na Mwandishi Wetu
WANASIASA wawili vijana ambao wamejijengea umaarufu wa kisiasa ndani ya makundi mbalimbali ya kijamii hapa nchini wameunganisha nguvu zao za kusaka ukuu wa dola katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Wanasiasa hao, Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Mwigulu Nchemba, Mbunge wa Iramba Magharibi na pia Naibu Waziri wa Fedha ambao jana walialikwa kushiriki mahojiano katika kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Televisheni ya Taifa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
VITA YA URAIS 2015: Sumaye amvaa January Makamba
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mzee Makamba atangaza kumnadi January urais 2015
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cmUlHu3AfEA/VUiaNTXAcQI/AAAAAAABfps/iGavWNhRpVA/s72-c/20150505030336%2B(1).jpg)
Bumbuli wampokea January Makamba kishujaa; Wambariki Urais.
![](http://1.bp.blogspot.com/-cmUlHu3AfEA/VUiaNTXAcQI/AAAAAAABfps/iGavWNhRpVA/s640/20150505030336%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EcX-GD0qCbI/VUiaO5NIr_I/AAAAAAABfp4/5mEIFyc8GIc/s640/20150505030336.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bm0K1S6olOk/VUiaO-SaWqI/AAAAAAABfp0/Hn9X0HM434U/s640/20150505031914.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jkU3kh2x8oU/VUiaPz9glwI/AAAAAAABfqA/Syuu1SZTaj0/s640/20150505031947.jpg)
Wakazi mbalimbali wa Jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto, Mkoani Tanga wamesema kuwa wapo tayari kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo, January Makamba kama ataamua kuwania nafasi ya kuwa mgombea wa...
11 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tFAcxdKi28I/VLzkEEi2SMI/AAAAAAAAmvU/X594247WL4Q/s72-c/tansania1.iso_.jpg)
Mh. January Makamba, Urais Sio Sawa na Kucheza Filamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-tFAcxdKi28I/VLzkEEi2SMI/AAAAAAAAmvU/X594247WL4Q/s640/tansania1.iso_.jpg)