Bumbuli wampokea January Makamba kishujaa; Wambariki Urais.
.jpg)
Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipokelewa na wazee mara baada ya kuwasili jimboni kwake.
Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Naibu Waziri Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipokelewa na akina mama na kupewa baraka zake.
Na Raisa Said, Bumbuli.
Wakazi mbalimbali wa Jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto, Mkoani Tanga wamesema kuwa wapo tayari kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo hilo, January Makamba kama ataamua kuwania nafasi ya kuwa mgombea wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Kaniki: Najipanga kumrithi January Makamba Jimbo la Bumbuli
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
January Makamba ashinda Uchaguzi wa ndani ya CCM na kuwa Mgombea wa Ubunge Bumbuli
Mh January amepewa tena ridhaa ya kuendelea kugombea Jimbo la Bumbuli na wana CCM katika uchaguzi uliofanyika ndani ya chama na Kuibuka kinara kwa kura nyingi na zakishindo dhidi ya wagombea wenzake.
Hivi Ndivyo Matokeo yalivyokuwa…..
11 years ago
Mwananchi09 Jul
January Makamba, Zitto waungana urais
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
MichuziJANUARY MAKAMBA ALIPOTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
January Makamba atangaza kugombea Urais 2015.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
*Nape asema hakufanya makosa
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.
Makamba, mmoja wa makada wa CCM walioonywa na chama hicho baada ya kutuhumiwa kuanza kampeni mapema, alijipigia debe kuwa iwapo atapitishwa...
11 years ago
Mwananchi22 Oct
Mzee Makamba atangaza kumnadi January urais 2015
11 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Vijimambo
Mh. January Makamba, Urais Sio Sawa na Kucheza Filamu
