WASTARA ANYWA SUMU!
Stori: Gladness Mallya IKIWA imetimia mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu kifo cha mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, Jumamosi iliyopita amedaiwa kufanya jaribio la kutaka kujiua kwa kunywa sumu, Risasi Mchanganyiko limefuatilia tukio hilo hatua kwa hatua. Wastara akiwa kitandani baada ya kunywa sumu. KABLA YA YOTE Awali, staa huyo ambaye amepitia mitihani mingi, alitundika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Oct
Anywa sumu baada ya kunusurika kubakwa
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mtoto mmoja (16) ambaye ni mkazi wa barabara ya 20 jiijini humo, kwa kosa la kunywa sumu kwa lengo la kutaka kujiua, baada ya kunusurika kubakwa na baba yake wa kambo.
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mtoto anywa sumu baada ya kunusurika kubakwa
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mtoto mmoja (16) ambaye ni mkazi wa barabara ya 20 jiijini humo, kwa kosa la kunywa sumu kwa lengo la kutaka kujiua, baada ya kunusurika kubakwa na baba yake wa kambo.
10 years ago
GPLMUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU
10 years ago
Vijimambo27 Mar
Mke wa Sumaye kunyang'anywa mashamba. Mke wa Sumaye kunyang'anywa mashamba.
Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani, imewataja vigogo wanaohodhi maeneo makubwa ya ardhi bila ya kuyaendeleza na kuwapa siku 90 kuhakikisha wanayaendeleza, kinyume chake yatachukuliwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Tatu Suleiman, ilisema vigogo hao walinunua mashamba katika eneo hilo na kisha kuyaacha kwa muda mrefu bila kuyaendeleza akiwamo mke wa Waziri Mkuu...
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Wananchi watishwa kunyang’anywa uraia
Na Elias Msuya, Katavi
MAKADA wa Umoja wa Katiba ya Wananchi, (Ukawa), wamewataka wananchi wa Jimbo la Nsimbo mkoani Katavi, kutotishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa watanyang’anywa uraia endapo watamchagua mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
Akizungumza na wananchi wa iliyokuwa kambi ya wakimbizi ya Katumba jana, Katibu wa Chadema Mkoa wa Katavi, Almas Ntije alisema CCM imekuwa ikiwatisha wananchi hao waliopewa uraia mwaka jana, kuwa watanyang’anywa uraia wao kama watachagua...
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Bill Gates anywa maji ya kinyesi
11 years ago
Habarileo06 Aug
Waliotelekeza viwanja Kibaha kunyang’anywa
WATU walionunua viwanja katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha wakashindwa kuviendeleza, watanyang’anywa na kuuziwa wenye nia ya kuviendeleza; imeelezwa.
10 years ago
Habarileo31 Jan
Watendaji wa Hazina wanyang’anywa tonge
SERIKALI imezuia watendaji wote wa Msajili wa Hazina, kuingia katika bodi yoyote ya mashirika ya umma kuepuka mgongano wa maslahi.
10 years ago
MichuziWAKANDARASI UMEME WASIOWAJIBIKA KUNYANG’ANYWA TENDA