Watendaji wa Hazina wanyang’anywa tonge
SERIKALI imezuia watendaji wote wa Msajili wa Hazina, kuingia katika bodi yoyote ya mashirika ya umma kuepuka mgongano wa maslahi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vm7wnyUQV7VOISthMru36vU-VdjE*lcmFtEWlT5kXr-rWJlmFx-gsrkVNX*3s9KtndPLKqFw*UoDAq3YJEfEVTv/wachomwa2.jpg)
POLISI WANYANG’ANYWA WATUHUMIWA, WACHOMWA MOTO!
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi
DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mfumo ‘wapoka tonge’ mawaziri
MFUMO wa usimamizi na utekelezaji wa shughuli za mawaziri nchini, umedaiwa kuhusika kuwaandalia mazingira ya kupoteza nyadhifa zao mara kwa mara.
11 years ago
Habarileo06 May
Daladala 1,800 kuporwa tonge
DALADALA 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2pH-S-fu0amTu7g*xZxuHOPc*psDDj5cMK7aNC7-rpY9KGsHgM8zzu1UjzA5HlE7BZDhz5JA6OGrf-xaPSVwzR/Vanessa3.jpg?width=650)
SHOGA, HUKUSHIBA TONGE, UTASHIBA KUJILAMBA?
10 years ago
Vijimambo16 Oct
SHOGA, HUKUSHIBA TONGE, UTASHIBA KUJILAMBA?
![](http://api.ning.com/files/ZlBJL*XyKT2pH-S-fu0amTu7g*xZxuHOPc*psDDj5cMK7aNC7-rpY9KGsHgM8zzu1UjzA5HlE7BZDhz5JA6OGrf-xaPSVwzR/Vanessa3.jpg?width=650)
Haya jamani kama kawaida yangu siku ya leo ikifika mtambaji huwa mmoja, hili si geni kwa vile miluzi mingi humpoteza mbwa. Jamani hivi nitumie mdomo na lugha gani ili wanawake wenzangu mnielewe?
Kwa nini lakini tumekuwa mzigo wa miba hatubebeki, ni kweli mwalimu wetu ni kipofu?
Jamaniii! Mbona tunatia aibu tunafanya mambo hata watoto wana afadhali, ukishaharibu unakimbilia kwa waganga sasa mchawi nani kama siyo mwenyewe.
Kwa kweli nazungumza kwa uchungu, ungekuwa karibu yangu ungeona machozi...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Wasaka tonge wameliharibu Bunge Maalumu
KABLA ya kuanza kwa vikao vya Bunge Maalumu, niliandika makala iliyokuwa na kichwa; ‘Siioni Katiba Mpya, nasubiri Ngumi’. Mimi si mtabiri lakini kutokana na kuanza vibaya kwa mchakato ule kamwe...
10 years ago
Mtanzania08 May
Zungu: Ninawapuuza wasaka tonge Ilala
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), amesema hana muda wa kulumbana na wanasiasa wanaotafuta ubunge kwa kutumia jina lake hasa kwa Ilala.
Amesema hatarudi nyuma kuwatumikia wapiga kura wake na sasa amejikita kuhakikisha anasimamia kutekelezaji Ilani ya Uchaguzi wa CCM na si kubishana na watu wanaotafuta ubunge kwa kutumia mitandao ya jamii ikiwamo facebook.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Zungu alisema kwa siku kadhaa watu watu wasioitakia mema Ilala...
10 years ago
Vijimambo08 Jun
TUNAHITAJI RAIS AWAMU YA TANO AWE MZALENDO SIO MSAKA TONGE
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/23.jpg)
Nimekuwa Msaidizi wa Viongozi mbalimbali na...