Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zungu: Ninawapuuza wasaka tonge Ilala

ZunguNa Adam Mkwepu, Dar es Salaam

MBUNGE wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), amesema hana muda wa kulumbana na wanasiasa wanaotafuta ubunge kwa kutumia jina lake hasa kwa Ilala.

Amesema hatarudi nyuma kuwatumikia wapiga kura wake na sasa amejikita kuhakikisha anasimamia kutekelezaji Ilani ya Uchaguzi wa CCM na si kubishana na watu wanaotafuta ubunge kwa kutumia mitandao ya jamii ikiwamo facebook.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Zungu alisema kwa siku kadhaa watu watu wasioitakia mema Ilala...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wasaka tonge wameliharibu Bunge Maalumu

KABLA ya kuanza kwa vikao vya Bunge Maalumu, niliandika makala iliyokuwa na kichwa; ‘Siioni Katiba Mpya, nasubiri Ngumi’. Mimi si mtabiri lakini kutokana na kuanza vibaya kwa mchakato ule kamwe...

 

9 years ago

Habarileo

Zungu atangazwa Mbunge Ilala

ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Ilala kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Azzan Zungu, ametetea kiti chake cha ubunge baada ya kutangazwa mshindi.

 

10 years ago

Mtanzania

Zungu achangiwa fomu ya ubunge Ilala

ZunguNa Jonas Mushi, Dar es Salaam
SHIRIKISHO la wanafunzi wa Elimu ya Juu la Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, limesema linaridhishwa na kazi ya utekelezaji wa ilani wa Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM).
Kutokana na hali hiyo wanafunzi hao waliendesha harambee na kukusanya Sh 75,000 ambazo walimkabidhi mbunge huyo kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Akizungumza juzi katika semina ya itikadi ya kujadili utekelezaji wa ilani...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Atangaza nia kumng’oa Zungu Ilala

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikihitimisha mchakato wa kumpata mgombea urais atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kada wa chama hicho ametangaza kumuondoa mbunge wa sasa wa Jimbo la Ilala, Dar es Salaam, Iddi Azzan Zungu.

Kada huyo mwenye Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara aliyoipata nchini Uingereza, Waziri Kindamba, amesema hana nia ya kukosoa kazi zilizofanywa na Zungu bali anataka kuleta mabadiliko, hususan katika...

 

5 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAZIRI ZUNGU WILAYANI ILALA JIJINI DAR ES SALAAM



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiangalia mojawapo ya mabwawa ya majitaka yanayodaiwa na wananchi wa eneo la Buguruni Kisiwani kutokana na harufu mbaya na mazalia ya mbu na kusababisha magonjwa.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akikatiza juu ya daraja la kuvuka maji yanayotiririka kutoka viwandani eneo la Buguruni.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe....

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA







Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.

************************

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...

 

11 years ago

Habarileo

Mfumo ‘wapoka tonge’ mawaziri

MFUMO wa usimamizi na utekelezaji wa shughuli za mawaziri nchini, umedaiwa kuhusika kuwaandalia mazingira ya kupoteza nyadhifa zao mara kwa mara.

 

11 years ago

Habarileo

Daladala 1,800 kuporwa tonge

Meneja Uendeshaji wa Dart, Peter MunuoDALADALA 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart).

 

10 years ago

Habarileo

Watendaji wa Hazina wanyang’anywa tonge

Waziri wa Fedha, Saada MkuyaSERIKALI imezuia watendaji wote wa Msajili wa Hazina, kuingia katika bodi yoyote ya mashirika ya umma kuepuka mgongano wa maslahi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani