Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo ‘wapoka tonge’ mawaziri

MFUMO wa usimamizi na utekelezaji wa shughuli za mawaziri nchini, umedaiwa kuhusika kuwaandalia mazingira ya kupoteza nyadhifa zao mara kwa mara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Daladala 1,800 kuporwa tonge

Meneja Uendeshaji wa Dart, Peter MunuoDALADALA 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart).

 

10 years ago

Habarileo

Watendaji wa Hazina wanyang’anywa tonge

Waziri wa Fedha, Saada MkuyaSERIKALI imezuia watendaji wote wa Msajili wa Hazina, kuingia katika bodi yoyote ya mashirika ya umma kuepuka mgongano wa maslahi.

 

10 years ago

GPL

SHOGA, HUKUSHIBA TONGE, UTASHIBA KUJILAMBA?

Haya jamani kama kawaida yangu siku ya leo ikifika mtambaji huwa mmoja, hili si geni kwa vile miluzi mingi humpoteza mbwa. Jamani hivi nitumie mdomo na lugha gani ili wanawake wenzangu mnielewe?
Kwa nini lakini tumekuwa mzigo wa miba hatubebeki, ni kweli mwalimu wetu ni kipofu? Jamaniii! Mbona tunatia aibu tunafanya mambo hata watoto wana afadhali, ukishaharibu unakimbilia kwa waganga sasa mchawi nani kama siyo mwenyewe.
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasaka tonge wameliharibu Bunge Maalumu

KABLA ya kuanza kwa vikao vya Bunge Maalumu, niliandika makala iliyokuwa na kichwa; ‘Siioni Katiba Mpya, nasubiri Ngumi’. Mimi si mtabiri lakini kutokana na kuanza vibaya kwa mchakato ule kamwe...

 

10 years ago

Mtanzania

Zungu: Ninawapuuza wasaka tonge Ilala

ZunguNa Adam Mkwepu, Dar es Salaam

MBUNGE wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), amesema hana muda wa kulumbana na wanasiasa wanaotafuta ubunge kwa kutumia jina lake hasa kwa Ilala.

Amesema hatarudi nyuma kuwatumikia wapiga kura wake na sasa amejikita kuhakikisha anasimamia kutekelezaji Ilani ya Uchaguzi wa CCM na si kubishana na watu wanaotafuta ubunge kwa kutumia mitandao ya jamii ikiwamo facebook.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Zungu alisema kwa siku kadhaa watu watu wasioitakia mema Ilala...

 

10 years ago

Vijimambo

SHOGA, HUKUSHIBA TONGE, UTASHIBA KUJILAMBA?


Haya jamani kama kawaida yangu siku ya leo ikifika mtambaji huwa mmoja, hili si geni kwa vile miluzi mingi humpoteza mbwa. Jamani hivi nitumie mdomo na lugha gani ili wanawake wenzangu mnielewe?
Kwa nini lakini tumekuwa mzigo wa miba hatubebeki, ni kweli mwalimu wetu ni kipofu?

Jamaniii! Mbona tunatia aibu tunafanya mambo hata watoto wana afadhali, ukishaharibu unakimbilia kwa waganga sasa mchawi nani kama siyo mwenyewe.
Kwa kweli nazungumza kwa uchungu, ungekuwa karibu yangu ungeona machozi...

 

10 years ago

Vijimambo

TUNAHITAJI RAIS AWAMU YA TANO AWE MZALENDO SIO MSAKA TONGE

Ningependa kutoa maoni kidogo kuhusu mjadala na mchakato inayoendelea . hivi sasa tunashuhudia watangaza nia wengi wakitangaza nia kwa kutoa hotuba moto moto za kushawishi wananchi wachaguliwe. Nimependa dialogue inayoendelea kuhusu Hotuba nzuri/na kutenda ukishachaguliwa. bahati nzuri kwenye maeneo yote mawilii nina uzoefu wa kutosha. katika utumishi wangu serikalini mpaka kufikia kustaafu nimeona hotuba nzuri na mbaya zinavyoandikwa. 
Nimekuwa Msaidizi wa Viongozi mbalimbali na...

 

9 years ago

Vijimambo

TFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI

 Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi (kulia), akibonyeza kituvye Dar es Salaam leo asubuhi, kuashiria uzinduzi wa mfumo wa utoaji vibali kwa njia ya kielekitroniki (e-portal) ambao utawezesha Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), kuhudumia wateja wake kwa kutumia mtandao wa intaneti. Mpango huo unaendeshwa kwa ushirikiano wa TFDA na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) Viongozi wakiwa meza kuu wakifuatilia uzinduzi huo.
 Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla hiyo ya uzinduzi. Wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani