Atangaza nia kumng’oa Zungu Ilala
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikihitimisha mchakato wa kumpata mgombea urais atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kada wa chama hicho ametangaza kumuondoa mbunge wa sasa wa Jimbo la Ilala, Dar es Salaam, Iddi Azzan Zungu.
Kada huyo mwenye Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara aliyoipata nchini Uingereza, Waziri Kindamba, amesema hana nia ya kukosoa kazi zilizofanywa na Zungu bali anataka kuleta mabadiliko, hususan katika...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Oct
Zungu atangazwa Mbunge Ilala
ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Ilala kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Azzan Zungu, ametetea kiti chake cha ubunge baada ya kutangazwa mshindi.
10 years ago
Mtanzania08 May
Zungu: Ninawapuuza wasaka tonge Ilala
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), amesema hana muda wa kulumbana na wanasiasa wanaotafuta ubunge kwa kutumia jina lake hasa kwa Ilala.
Amesema hatarudi nyuma kuwatumikia wapiga kura wake na sasa amejikita kuhakikisha anasimamia kutekelezaji Ilani ya Uchaguzi wa CCM na si kubishana na watu wanaotafuta ubunge kwa kutumia mitandao ya jamii ikiwamo facebook.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Zungu alisema kwa siku kadhaa watu watu wasioitakia mema Ilala...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Zungu achangiwa fomu ya ubunge Ilala
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
SHIRIKISHO la wanafunzi wa Elimu ya Juu la Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, limesema linaridhishwa na kazi ya utekelezaji wa ilani wa Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM).
Kutokana na hali hiyo wanafunzi hao waliendesha harambee na kukusanya Sh 75,000 ambazo walimkabidhi mbunge huyo kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Akizungumza juzi katika semina ya itikadi ya kujadili utekelezaji wa ilani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-26.jpg)
ZIARA YA WAZIRI ZUNGU WILAYANI ILALA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s640/2-26.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiangalia mojawapo ya mabwawa ya majitaka yanayodaiwa na wananchi wa eneo la Buguruni Kisiwani kutokana na harufu mbaya na mazalia ya mbu na kusababisha magonjwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-19.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-29.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s72-c/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s640/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/e2b53de4-c083-49f6-bcc2-f23dc1b7cc5d.jpg)
Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.
************************
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Anndy Murry atangaza nia
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
steve nyerere atangaza nia
![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Lowassa atangaza nia kimtindo
10 years ago
MichuziNYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS