Waliotelekeza viwanja Kibaha kunyang’anywa
WATU walionunua viwanja katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha wakashindwa kuviendeleza, watanyang’anywa na kuuziwa wenye nia ya kuviendeleza; imeelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Wananchi watishwa kunyang’anywa uraia
Na Elias Msuya, Katavi
MAKADA wa Umoja wa Katiba ya Wananchi, (Ukawa), wamewataka wananchi wa Jimbo la Nsimbo mkoani Katavi, kutotishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa watanyang’anywa uraia endapo watamchagua mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
Akizungumza na wananchi wa iliyokuwa kambi ya wakimbizi ya Katumba jana, Katibu wa Chadema Mkoa wa Katavi, Almas Ntije alisema CCM imekuwa ikiwatisha wananchi hao waliopewa uraia mwaka jana, kuwa watanyang’anywa uraia wao kama watachagua...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
Mke wa Sumaye kunyang'anywa mashamba. Mke wa Sumaye kunyang'anywa mashamba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sumaye-27March2015.jpg)
Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani, imewataja vigogo wanaohodhi maeneo makubwa ya ardhi bila ya kuyaendeleza na kuwapa siku 90 kuhakikisha wanayaendeleza, kinyume chake yatachukuliwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Tatu Suleiman, ilisema vigogo hao walinunua mashamba katika eneo hilo na kisha kuyaacha kwa muda mrefu bila kuyaendeleza akiwamo mke wa Waziri Mkuu...
10 years ago
MichuziWAKANDARASI UMEME WASIOWAJIBIKA KUNYANG’ANYWA TENDA
11 years ago
Habarileo20 Mar
Bodaboda watakaofika katikati ya jiji kunyang’anywa leseni
WAENDESHA bodaboda na 'bajaji'ambao watakiuka agizo la kutoingia katika Eneo la Katikati ya Jiji (CBD), watanyang'anywa leseni zao za biashara, kwa kukiuka sheria. Hayo yameelezwa na Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya baadhi ya madereva wanaokiuka agizo hilo.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFUl8SfUpX0LPWOBpPf9HXCptM6dHQVBzJ8urtM4vtmSJTSKx-NI1AoUOjqXo1vfMZEd-UKYOsSjdANTAlrj3S4P/zari.jpg?width=650)
DIAMOND: NINA HOFU YA KUNYANG'ANYWA TIFFAH
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Ajinyonga kwa katani baada ya kunyang’anywa mke
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Sakata la Faiza Ally Kunyang’anywa Mtoto Latua Bungeni
Siku chache zimepita tangu hukumu ya kesi ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kutolewa dhidi ya mzazi mwenzake Faiza Ally,baada ya kuiomba mahakama kumchukua mtoto wao, hali iiyopelekea mahakama kutoa hukumu kuwa mtoto achukuliwe na Mbunge huyo, jambo lililofanya sakata hilo kutinga bungeni.
Baadhi ya wabunge na wadau mbalimbali wamedai kuwa mtoto bado ni mdogo sana kuweza kuishi na baba yake na kutoa maoni kuwa mtoto arudishwe kwa mama yake kwa kuwa kila mtu ana mapungufu na...
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Halmashauri Kibaha yatisha wasioendeleza viwanja
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, imewataka watu waliochukua viwanja kwenye eneo la kitovu cha mji, waviendeleze na endapo watashindwa watanyang’anywa viwanja hivyo.