Halmashauri Kibaha yatisha wasioendeleza viwanja
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, imewataka watu waliochukua viwanja kwenye eneo la kitovu cha mji, waviendeleze na endapo watashindwa watanyang’anywa viwanja hivyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Aug
Waliotelekeza viwanja Kibaha kunyang’anywa
WATU walionunua viwanja katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha wakashindwa kuviendeleza, watanyang’anywa na kuuziwa wenye nia ya kuviendeleza; imeelezwa.
10 years ago
Habarileo16 Dec
Halmashauri Kibaha kuchanja mbwa 5,000
HALMASHAURI ya Mji Kibaha mkoani Pwani imeanza kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa ili kuwanusuru wananchi na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa.
10 years ago
MichuziBayport: Wa mikoani nao wanaweza kukopa viwanja vya Kibaha
Bonyeza hapa kupata fomu ya mkopo wa viwanja kutoka Bayport Financial...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Wakazi nyumba za TAMCO waiomba Halmashauri ya Kibaha kutengeneza barabara
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika mkoa wa Pwani, imesababisha madhara mengi, ikiwemo kuharibu vibaya kipande cha barabara kinachoanzia bwalo la magereza hadi nyumba za Tamco katika halmashauri ya manispaa ya Kibaha. Kipande hicho endapo hakitafanyiwa matengezo mapema,kuna kila dalili kwamba kitakuwa hakipitika kabisa na hivyo kukata mawasiliano kati ya wakazi wa nyumba za Tamco, maeneo ya makaburi ya Air Msae na vitongoji vingine na makao makuu ya manispaa hiyo.(Picha na Nathaniel...
5 years ago
MichuziDC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA PWANI AZINDUA MRADI MPYA WA VIWANJA VYA PANGANI,KIBAHA
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Halmashauri nchini zashauriwa kutenga maeneo ya wazi kwa ajili ya viwanja vya michezo
Ofisa michezo wa wilaya ya Manyoni, Salumu Mohamedi Mkuya akiongoza ratiba ya michezo ya tamasha iliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya sekondari Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Manyoni, Jesca Mununo na Katibu wa CWT Wilaya ya Manyoni, Nalea Nyamuyo wakibadilishana mawazo wakati wa tamasha la michezo kwa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Arani Jumbe ( wa nne kutoka kulia), Mwenyekiti wa...
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Wachimbaji wasioendeleza maeneo waonywa
WIZARA ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuwanyang’anya wachimbaji wakubwa wote walioshikilia leseni za maeneo ya uchimbaji lakini hawayaendelezi. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Stephen Masele, alitoa kauli hiyo bungeni...