Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri Kibaha yatisha wasioendeleza viwanja

HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, imewataka watu waliochukua viwanja kwenye eneo la kitovu cha mji, waviendeleze na endapo watashindwa watanyang’anywa viwanja hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waliotelekeza viwanja Kibaha kunyang’anywa

WATU walionunua viwanja katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha wakashindwa kuviendeleza, watanyang’anywa na kuuziwa wenye nia ya kuviendeleza; imeelezwa.

 

10 years ago

Habarileo

Halmashauri Kibaha kuchanja mbwa 5,000

HALMASHAURI ya Mji Kibaha mkoani Pwani imeanza kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa ili kuwanusuru wananchi na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa.

 

10 years ago

Michuzi

Bayport: Wa mikoani nao wanaweza kukopa viwanja vya Kibaha

TAASISI ya Kifedha ya Bayaport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo,imesema hata Watanzania wanaoishi mikoani wanaweza kutumia fursa ya kukopeshwa viwanja katika mradi wa Vikuruti, uliopo Kibaha, mkoani Pwani. Unaweza kuptata fomu hapa.Afisa Mipango wa Wilaya ya Kibaha, Obed Katonge, akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya mikopo ya viwanja, uliyofanyika mwishoni mwa wiki, katika hoteli ya Serena.
Bonyeza hapa kupata fomu ya mkopo wa viwanja kutoka Bayport Financial...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wakazi nyumba za TAMCO waiomba Halmashauri ya Kibaha kutengeneza barabara

DSC07932

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika mkoa wa Pwani, imesababisha madhara mengi, ikiwemo kuharibu vibaya kipande cha barabara kinachoanzia bwalo la magereza hadi nyumba za Tamco katika halmashauri ya manispaa ya Kibaha. Kipande hicho endapo hakitafanyiwa matengezo mapema,kuna kila dalili kwamba kitakuwa hakipitika kabisa na hivyo kukata mawasiliano kati ya wakazi wa nyumba za Tamco, maeneo ya makaburi ya Air Msae na vitongoji vingine na makao makuu ya manispaa hiyo.(Picha na Nathaniel...

 

5 years ago

Michuzi

DC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA

MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.

Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.

Akizungumza katika...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA PWANI AZINDUA MRADI MPYA WA VIWANJA VYA PANGANI,KIBAHA

 Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Mh. Mwantumu Mahiza akikata Utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi mpya wa Viwanja vya Pangani Mjini Kibaha,Mkoani Pwani jana Agosti 4,2014.Mradi huo Unaratibiwa na Kampuni ya Space & Development kwa Ufadhili wa Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB Development Bank).Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Mh. Mwantumu Mahiza akiangalia Maji yanayokoka kwenye Kisima kikubwa kilichopo ndani ya Mradi huo ambacho kina uwezo wa kutoa Lita elfu 10 kwa saa,ikiwa ni sehemu ya Miundombinu iliyopo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.

3

 Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...

 

9 years ago

Dewji Blog

Halmashauri nchini zashauriwa kutenga maeneo ya wazi kwa ajili ya viwanja vya michezo

SAM_0096

Ofisa michezo wa wilaya ya Manyoni, Salumu Mohamedi Mkuya akiongoza ratiba ya michezo ya tamasha iliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya sekondari Kilimatinde,wilayani Manyoni.

SAM_0090

Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Manyoni, Jesca Mununo na Katibu wa CWT Wilaya ya Manyoni, Nalea Nyamuyo wakibadilishana mawazo wakati wa tamasha la michezo kwa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.

SAM_0086

Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Arani Jumbe ( wa nne kutoka kulia), Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wachimbaji wasioendeleza maeneo waonywa

WIZARA ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuwanyang’anya wachimbaji wakubwa wote walioshikilia leseni za maeneo ya uchimbaji lakini hawayaendelezi. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Stephen Masele, alitoa kauli hiyo bungeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani