Bayport: Wa mikoani nao wanaweza kukopa viwanja vya Kibaha
TAASISI ya Kifedha ya Bayaport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo,imesema hata Watanzania wanaoishi mikoani wanaweza kutumia fursa ya kukopeshwa viwanja katika mradi wa Vikuruti, uliopo Kibaha, mkoani Pwani. Unaweza kuptata fomu hapa.Afisa Mipango wa Wilaya ya Kibaha, Obed Katonge, akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya mikopo ya viwanja, uliyofanyika mwishoni mwa wiki, katika hoteli ya Serena.
Bonyeza hapa kupata fomu ya mkopo wa viwanja kutoka Bayport Financial...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWatanzania kuendelea kuula viwanja vya Bayport
WATANZANIA wenye nia ya kumiliki ardhi, wataendelea kuipata fursa hiyo baada ya Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, kuwapatia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20fzw7323-X5xZt2u6V4wsEPhTgfYG3eE-SUXj2jca54RXCDIxQ9dfV708Pvv8TcKaL7Icv1ToDKEtdnS37NINg/20150530_114121.jpg?width=650)
WATANZANIA WACHANGAMKIA VIWANJA VYA BAYPORT VIKURUTI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9UBEvejSweQ/VXFj1mND15I/AAAAAAAAI6g/-bukwHmpQjU/s72-c/20150530_114121.jpg)
WATANZANIA WAVICHANGAMKIA VIWANJA VYA BAYPORT VIKURUTI
Kuchangamkiwa kwa viwanja hivyo kumekuja siku chache baada ya kuzindua huduma mpya ya mikopo ya viwanja hivyo kutoka Bayport, ikiwa ni ishara nzuri na njia ya kuwapa fursa Watanzania ya kumiliki nyumba.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial...
10 years ago
MichuziBayport yasogeza mbele ofa ya viwanja vya mikopo Vikuruti
Bayport yasogeza mbele ofa ya viwanja vya mikopo VikurutiNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo imesogeza mbele huduma yao mpya ya mikopo ya viwanja vilivyopo Vikukuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani kwa ajili ya kutoa fursa zaidi ya Watanzania kupata viwanja hivyo vilivyopimwa.
10 years ago
GPLBAYPORT FINANCIAL SERVICES YAENDESHA SHINDANO LA KUKOPA PESA KWA NJIA YA MTANDAO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-afrk5kwCOmA/U9_5CEVgkxI/AAAAAAAF9Jw/hrsCuYsHnXI/s72-c/MMGM0222.jpg)
MKUU WA MKOA WA PWANI AZINDUA MRADI MPYA WA VIWANJA VYA PANGANI,KIBAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-afrk5kwCOmA/U9_5CEVgkxI/AAAAAAAF9Jw/hrsCuYsHnXI/s1600/MMGM0222.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JvU-ar1_6s4/U9_5FO7RPoI/AAAAAAAF9J4/IKwsNYrIOuc/s1600/MMGM0234.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Wanaume nao wanaweza kunyonyesha watoto wao
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RTpMXmPQyLg/U7kvqdIFBiI/AAAAAAACk0Q/7tA1Dlf8yLM/s72-c/1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
TAA kuboresha viwanja mikoani
MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (TAA), imesema itaendelea kuboresha viwanja vya ndege vilivyoko mikoani, ili kila mwananchi aweze kutumia usafiri huo. Ofisa Sheria na Mahusiano wa mamlaka hiyo, Nuru Nyoni,...