Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimbaji wasioendeleza maeneo waonywa

WIZARA ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuwanyang’anya wachimbaji wakubwa wote walioshikilia leseni za maeneo ya uchimbaji lakini hawayaendelezi. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Stephen Masele, alitoa kauli hiyo bungeni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Lukuvi awaonya wawekezaji wasioendeleza maeneo yao

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewaonya wawekezaji walionunua maeneo mbalimbali nchini bila ya kuyaendeleza na kuwataka wayarudishe kwa wananchi.

Kauli hiyo ameitoa siku mbili baada ya kuapishwa kuwa waziri mwenye dhamana ya wizara hiyo na kuahidi kuwa atahakikisha wananchi wanamilikishwa ardhi kisheria.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Mkazi ni miongoni mwa wizara yenye migogoro mingi ya ardhi hali inayopelekea Waziri mwenye dhamana William Lukuvi...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yatakiwa kuwapa maeneo, masoko wachimbaji wadogo

 

Wachimbaji wadogo wadogo katika machimbo ya bati ya Nyaruzumbula wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameilalamikia Serikali kwa kuwanyima maeneo ya kuchimbia na kutoa leseni kwa wachimbaji wakubwa.

Aidha wachimbaji hao wamesema wanaathirika na bei ndogo inayotumika kununulia madini hayo kutoka kwa madalali ambao hunufaika baada ya kuuza madini hayo kwa bei kubwa kwa wateja wakubwa.

Machimbo ya madini ya bati yaliyopo katika kijiji cha Nyaruzumbula wilayani Kyerwa Mkoani Kagera ,ambayo...

 

9 years ago

StarTV

Wachimbaji wadogo walia na Serikali kwa uvamizi maeneo ya machimbo

Wachimbaji Wadogo katika kijiji cha Samina wamedai kuwa Serikali haiwajali na imekuwa ikiwapa ahadi zisizokamilika hali iliyochangia wachimbaji hao kuvamia maeneo hatarishi na kujitafutia riziki.

Wakiongea na Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa wamesema kuwa waliahidiwa kutafutiwa maeneo ya uchimbaji lakini maeneo waliyopewa hayakuwa na dhahabu hali iliyokatisha tamaa na kuchangia kuongezeka kwa vijana wasio na ajira

Mkuu wa Mkoa Fatma Mwassa amewapa nafasi wachimbaji wataje maeneo...

 

11 years ago

Habarileo

Halmashauri Kibaha yatisha wasioendeleza viwanja

HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, imewataka watu waliochukua viwanja kwenye eneo la kitovu cha mji, waviendeleze na endapo watashindwa watanyang’anywa viwanja hivyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii waonywa

Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limewaonya wasanii kutotumia lugha ya matusi katika kipindi ambacho wanatumika kwenye kampeni mbalimbali za wagombea, watambue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaoihujumu NHIF waonywa

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewaonya wanachama wake na wadau wengine wanaotumia vibaya vitambulisho vya matibabu vya mfuko huo, kwamba ikithibitika watachukuliwa hatua za kisheria ikiwamo kufikishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani