Wachimbaji wadogo walia na Serikali kwa uvamizi maeneo ya machimbo
Wachimbaji Wadogo katika kijiji cha Samina wamedai kuwa Serikali haiwajali na imekuwa ikiwapa ahadi zisizokamilika hali iliyochangia wachimbaji hao kuvamia maeneo hatarishi na kujitafutia riziki.
Wakiongea na Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa wamesema kuwa waliahidiwa kutafutiwa maeneo ya uchimbaji lakini maeneo waliyopewa hayakuwa na dhahabu hali iliyokatisha tamaa na kuchangia kuongezeka kwa vijana wasio na ajira
Mkuu wa Mkoa Fatma Mwassa amewapa nafasi wachimbaji wataje maeneo...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali yatakiwa kuwapa maeneo, masoko wachimbaji wadogo
Wachimbaji wadogo wadogo katika machimbo ya bati ya Nyaruzumbula wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameilalamikia Serikali kwa kuwanyima maeneo ya kuchimbia na kutoa leseni kwa wachimbaji wakubwa.
Aidha wachimbaji hao wamesema wanaathirika na bei ndogo inayotumika kununulia madini hayo kutoka kwa madalali ambao hunufaika baada ya kuuza madini hayo kwa bei kubwa kwa wateja wakubwa.
Machimbo ya madini ya bati yaliyopo katika kijiji cha Nyaruzumbula wilayani Kyerwa Mkoani Kagera ,ambayo...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Wachimbaji wadogo Mirerani walia na Wizara
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0AEqUsFVPPk/U2rqs0siQdI/AAAAAAAA-bE/-F-_grJSfUQ/s72-c/magori.jpg)
NSSF YATOA SEMINA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA WAMADINI-MWANZA
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Pinda akabidhi fedha za ruzuku kwa wachimbaji wadogo wadogo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Bw. Juma Digalu wa Kampuni ya Uchimbaji Mdini ya Mwalazi, hudndi ya Dola za Marekani 50,000 akiwa ni mmoja ni mmoja wa wachimbaji madini wadogowadogo waliopatiwa ruzuku na serikali kupitia Benki ya TIB. Hafla ya kukabidhi hundi hizo ilifnyika kwenye Chuo cha Madini cha Dodoma Aprili 9, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nisahati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Stephen Masele na Kulia ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BENKI YA DUNIA YAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKABIDHI FEDHA ZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO,MJINI DODOMA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QqkjK4iQfxk/XplztwsuSwI/AAAAAAAC3QM/vOGqXQ3HseArtoHgidGtJFDM9IiWH0KEwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI KUANDAA MPANGO KAZI WA KITAIFA WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU (2020-205)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QqkjK4iQfxk/XplztwsuSwI/AAAAAAAC3QM/vOGqXQ3HseArtoHgidGtJFDM9IiWH0KEwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hayo yamesemwa jana April 16 Bungeni jijini Dodoma na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Makamu Wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu wakati akiwasilisha hotuba Kuhusu Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Kwa Mwaka 2020/21 . Waziri Zungu amebainisha kuwa Mpango-Kazi huo unalenga kupunguza matumizi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA ATEMBELEA MGODI WA MGUSU ULIOKABIDHIWA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s640/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndug Kinana leo amehitimisha ziara yake ndani ya mkoa wa Geita kwa kutembea kilometa 1680 kwa Gari,ametembelea Majimbo sita na Wilaya zake sita,huku akiwa amehutubia mikutano 78,mikutano 72 ya hadhara na mikutano 6 ya ndania.Ndugu Kinana ametembelea miradi 53 ya Maendeleo,miradi mitano ya CCM.Kama...