Halmashauri Kibaha kuchanja mbwa 5,000
HALMASHAURI ya Mji Kibaha mkoani Pwani imeanza kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa ili kuwanusuru wananchi na ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Aug
Halmashauri Kibaha yatisha wasioendeleza viwanja
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, imewataka watu waliochukua viwanja kwenye eneo la kitovu cha mji, waviendeleze na endapo watashindwa watanyang’anywa viwanja hivyo.
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Wakazi nyumba za TAMCO waiomba Halmashauri ya Kibaha kutengeneza barabara
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika mkoa wa Pwani, imesababisha madhara mengi, ikiwemo kuharibu vibaya kipande cha barabara kinachoanzia bwalo la magereza hadi nyumba za Tamco katika halmashauri ya manispaa ya Kibaha. Kipande hicho endapo hakitafanyiwa matengezo mapema,kuna kila dalili kwamba kitakuwa hakipitika kabisa na hivyo kukata mawasiliano kati ya wakazi wa nyumba za Tamco, maeneo ya makaburi ya Air Msae na vitongoji vingine na makao makuu ya manispaa hiyo.(Picha na Nathaniel...
5 years ago
MichuziDC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
9 years ago
GPLTYGA, KYLIE WAPEWA ZAWADI YA MBWA WA DOLA 50,000
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
9 years ago
MichuziMagufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.