Auawa kwa kisu deni la Tsh.2,000/-
DENI la Sh 2,000 limesababisha mpiga debe katika stendi ya mabasi yaendayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga kupoteza uhai wake baada ya kuchomwa kisu na mdeni wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo17 Aug
Jipatie Tsh 2,000 hadi Tsh 40,000 kwa Video kupitia Kisakuzi.com
![kisakuzi-video-tanzania](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/kisakuzi-video-tanzania.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Dec
Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu
MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
11 years ago
Habarileo29 Apr
Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu
MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Askari auawa kwa kisu na mtangazaji wa redio
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Auawa kwa kujaribu kumdunga polisi kisu Israeli
10 years ago
Habarileo03 Jan
Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani
DEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7WaW*6Bsqz1XyrOFMbHSl2i49c3FGilFLNYbn-mP0j46OaZxOmZI701jSHRg*enPIOnPKIvswOQaMJd-Wp4-t*9VP17a-ruE/FLABBA690x450.jpg?width=650)
MWANA HIP HOP FLABBA AUAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MPENZI WAKE AFRIKA KUSINI