Kijana apigwa kisu baada ya kufumaniwa,
Asifiwe George na Mwajabu Kusupa (TEC), Dar es Salaam
HEKAHEKA za sikukuu ya mwaka mpya wa 2015 jijini Dar es Salaam zimeacha alama ya matukio kadhaa mbali na taarifa za watu 87 kujeruhiwa kwa ajali wakati wa mkesha, pia yapo matukio mengine mawili likiwemo la kijana wa miaka 18 kuuawa baada ya kufumaniwa.
Kabla ya taarifa hizi mpya juzi gazeti la MTANZANIA liliripoti juu ya kutokea kwa ajali katika maeneo tofauti tofauti zilizosababisha watu 87 kujeruhiwa wakiwa katika harakati za...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Kijana aliyewadunga kisu Waisraeli auawa
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Auawa baada ya kufumaniwa
10 years ago
CloudsFM31 Dec
PATCHO MWAMBA AMSAMEHE ALIMZUSHIA KUWA AMEPIGWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU
Msanii maarufu wa bendi na ambaye pia muigizaji wa Bongo Movie, Patcho Mwamba amemsamehe aliyemzushia kuwa amepigwa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu kwenye hotel ya Sinza.
Kupitia Uheard ya Clouds fm na Soudy Brown Patcho alitangaza kuwa ataenda sambamba na wote waliomzushia kufumaniwa na kuingiliwa...
10 years ago
Bongo Movies26 Dec
TETESI:Patcho Mwamba Apokea Kichapo Kizito Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mtu
Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dansi Patcho Mwamba, amepewa kipigo cha nguvu hadi kumvimbisha uso kama unavyomuona hapo juu, baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.
Habari hizi zinaenea kwa kasi zaidi mtandaoni kama moto wa vifuu…hakuna taarifa rasmi juu ya kinanani ,na wapi hasa tukilo hilimetokea,japokuwa inasemekanai ni siku ya krismas (jana) .Hadi sasa sio Patcho mwenyewe au watu wake wakaribu hawajajitokeza kukanusha taarifa hizi.
11 years ago
Bongo506 Aug
New Music Video: Hussein Machozi aachia video mpya ya ‘Harusi’ baada ya mkasa wa kudaiwa kufumaniwa Kenya
9 years ago
StarTV10 Oct
Kijana mmoja afariki baada ya kuangukiwa na jiwe
Kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Johnson Muchunguzi amefariki dunia baada ya kuangukiwa na miamba ya mawe alipokuwa katika shughuli za uchimbaji wa mchanga kwenye eneo la machimbo yasiyo rasmi ya Rwome yaliyopo katika kata ya Kashai Manispaa ya Bukoba,.
Baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kijana huyo pamoja na wenzake walikutwa na dhaama hiyo majira ya asubuhi baada ya jiwe kubwa kuanguka na kumfukia wakati akiwa katika shimo alilokuwa akichimbia mchanga.
Vikosi vya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-prINOoXZVIM/VIF5jDGkdhI/AAAAAAAAJw4/km3U1ESt834/s72-c/2014-12-04%2B09.31.38.jpg)
KIJANA ANUSURIKA KUAWA BAADA YA KUIBA SHUKA LA KIMASAI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-prINOoXZVIM/VIF5jDGkdhI/AAAAAAAAJw4/km3U1ESt834/s1600/2014-12-04%2B09.31.38.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-J3GXvRFn-Lc/VIF5LbGeuKI/AAAAAAAAJwo/OhsBsFBvGLk/s1600/2014-12-04%2B09.29.51.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tOJG-rG3jE0/VIF5K2rktHI/AAAAAAAAJwg/tX2dA-ODDiI/s1600/2014-12-04%2B09.30.09.jpg)
9 years ago
StarTV25 Nov
Kijana wa Kagondo Bukoba ajinyonga baada ya kutoka hospitalini
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Nelson Laurent mwenye umri wa miaka 34 mkazi wa kata ya Kagondo Manispaaa ya Bukoba mkoani Kagera amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ndani ya nyumba yake.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kijana huyo ambaye alichukua maamuzi hayo leo majira ya asubuhi mara baada ya kupata chai pamoja na ndugu zake nyumbani kwa baba yake mzazi aliaga kuwa anaenda kubadilisha nguo ili akachukue dawa kwa bibi yake.
vilio na simanzi vilitawala...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BvvAZRNFqnTT1pgaYBhBMLNlBBU1UhGT*CiRdpschWBgdAgHjYgn9PqdqmtCySXHskCN8tT*MEVHxMgcnhwvRbRny0*aWmke/BEN.jpg?width=650)
KIJANA AVUA NGUO BAADA YA KUFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO