Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waonywa kuacha uvamizi wa migodi

Rais wa Shirikisho la Wachimba Madini Tanzania, John Bina ameagiza kufunguliwa mara moja kwa mgodi wa dhahabu wa Mattany Ikungi na kutoa onyo dhidi ya mchimbaji madini yeyote atakayekwenda kinyume na sheria zinazosimamia sekta hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uvamizi ufaransa, 12 wauawa

Watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao wamewau takriban watu 12 katika ofisi za gazeti moja la vibonzo la Charlie Hebdo nchini Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani Nigeria walaani uvamizi

Chama cha upinzani nchini Nigeria, kimelaani uvamizi uliofanywa na maafisa wa usalama dhidi ya ofisi zake mjini Lagos mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Uvamizi wasababishia reli maafa

Uvamizi na uharibifu wa mazingira pembezoni mwa njia za reli, unatajwa kuwa sababu ya kuharibika kwa miundombinu ya reli mara kwa mara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yahusishwa na uvamizi A. Kusini

Afrika Kusini imewahusisha wanadiplomasia 3 wa Rwanda waliofurushwa kutoka nchini humo na njama ya mauaji ya wapinzani wa Kagame wanaoishi Afrika Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine :Msafara wa msaada ni uvamizi

Msafara wa msaada kutoka Urusi Umeingia Ukraine bila idhini ya Kiev

 

10 years ago

Mwananchi

TAHARUKI: Maswali 10 uvamizi Tanga

>Tukio la kurushiana risasi kati ya polisi wakishirikiana na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) dhidi ya watu wanaosadikiwa kuwa majambazi au magaidi limeacha maswali 10 muhimu yanayolifanya lionekane lenye utata

 

11 years ago

Michuzi

26 wakamatwa kwa uvamizi wa mashamba

Na John Gagarini, Kibaha
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.

Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi waandamana kupinga uvamizi

ZAIDI ya wavuvi 30 wa Kisiwa cha Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, wameandamana hadi kituo cha polisi cha wilaya, kulalamikia kutokuwepo ulinzi katika Ziwa Victoria, kiasi cha kutoa mwanya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa hoteli nchini Mali

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli ya Radisson Blu katika mji mkuu wa Mali, Bamako, ripoti zinasema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani