TAHARUKI: Maswali 10 uvamizi Tanga
>Tukio la kurushiana risasi kati ya polisi wakishirikiana na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) dhidi ya watu wanaosadikiwa kuwa majambazi au magaidi limeacha maswali 10 muhimu yanayolifanya lionekane lenye utata
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Mlipuko wazua taharuki Tanga, mmoja ashikiiliwa
Polisi Mkoani Tanga inamshikilia mmiliki wa banda la wazi la kuonyesha video, eneo la Amboni Kata ya Chumbageni jijini Tanga kwa mahojiano baada ya kutokea mlipuko wa kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutengeneza kienyeji katika eneo lake.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s72-c/Eyakuze.jpg)
Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s640/Eyakuze.jpg)
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Taharuki yakumba Jiji la Tanga Polisi wakipambana na majambazi mapango ya Amboni
Hali tete na taharuki imezuka katika jijini la Tanga kwa siku mbili kuanzia jana na leo baada ya kusikika milio ya mabomu na risasi zilizokuwa zikirushwa wakati vikosi vya jeshi la polisi na JWTZ vikishambuliana na kundi linalodaiwa kuwa ni la majambazi.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Uvamizi ufaransa, 12 wauawa
Watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao wamewau takriban watu 12 katika ofisi za gazeti moja la vibonzo la Charlie Hebdo nchini Ufaransa.
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Uvamizi wasababishia reli maafa
Uvamizi na uharibifu wa mazingira pembezoni mwa njia za reli, unatajwa kuwa sababu ya kuharibika kwa miundombinu ya reli mara kwa mara.
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Upinzani Nigeria walaani uvamizi
Chama cha upinzani nchini Nigeria, kimelaani uvamizi uliofanywa na maafisa wa usalama dhidi ya ofisi zake mjini Lagos mwishoni mwa wiki.
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Uvamizi wa hoteli nchini Mali
Watu wenye silaha wameshambulia hoteli ya Radisson Blu katika mji mkuu wa Mali, Bamako, ripoti zinasema.
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Rwanda yahusishwa na uvamizi A. Kusini
Afrika Kusini imewahusisha wanadiplomasia 3 wa Rwanda waliofurushwa kutoka nchini humo na njama ya mauaji ya wapinzani wa Kagame wanaoishi Afrika Kusini.
11 years ago
Michuzi29 May
26 wakamatwa kwa uvamizi wa mashamba
Na John Gagarini, Kibaha
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.
Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...
JUMLA ya watu 26 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kuharibu mazao ndani ya shamba.
Pia watu hao wanatuhumiwa kuvamia mashamba na kuingia kwa jinai kukutwa na bangi kete 38 na gramu 250 za bangi pamoja na pombe ya moshi lita 30.
Akithibitisha kwa kutokea tukio hilo alisema kuwa uvamizi huo ulifanywa kwenye vitongoji vitatu tofauti vya Mkonga, Mkombozi na Tambani wilayani Mkuranga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaidizi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania