MV KIGAMBONI LAPOTEZA MWELEKEO UPANDE WA KIGAMBONI
Wananchi wakitazama kivuko cha Mv. Kigamboni baada ya kupoteza mwelekeo na kushindwa kushusha abiria na magari.  Kivuko cha MV Magogoni baada ya kupakia abiria na magari upande wa Kigamboni kilifanikiwa kutoka na kilipofika jirani na gati upande wa Magogoni kilipoteza mwelekeo kwa dakika kadhaa ila baadaye kilifanikiwa kushusha. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMV KIGAMBONI YAPOTEZA MWELEKEO NI BAADA YA KUPIGWA NA UPEPO
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
10 years ago
MichuziMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua Kiota kipya Mji Mwema Kigamboni
10 years ago
VijimamboMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua kipya Mji Mwema Kigamboni cha Fursat Dhahabiyya.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sb64dLsWtNo/U0JovL2skDI/AAAAAAAFZKM/rLc60I--JK8/s72-c/MMG29909.jpg)
MBUNGE WA KIGAMBONI ATEMBELEA KITUO CHA AFYA KIGAMBONI KUANGALIA MAENDELEO YA TIBA YA KANSA YA KIZAZI KWA KINAMAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sb64dLsWtNo/U0JovL2skDI/AAAAAAAFZKM/rLc60I--JK8/s1600/MMG29909.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iXI4ndSaUOE/U0JowILpOsI/AAAAAAAFZKU/UFAq2wBBTpw/s1600/MMG29878.jpg)
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-42BzMvS7rEc/VJBAseV7nlI/AAAAAAAG3kU/Jr085C1rjkY/s72-c/1.jpg)
MSAFARA WA KIGAMBONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-42BzMvS7rEc/VJBAseV7nlI/AAAAAAAG3kU/Jr085C1rjkY/s1600/1.jpg)
11 years ago
TheCitizen22 Apr
The first community library in Kigamboni
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dFo3qqmCdA0/VhtVggHlV1I/AAAAAAAH-7M/Z2-fI8T9g00/s72-c/DSC02755.jpg)
MZIKI MNENE KIGAMBONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-dFo3qqmCdA0/VhtVggHlV1I/AAAAAAAH-7M/Z2-fI8T9g00/s640/DSC02755.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gnAMg9gwyM8/VhtVgkxT3fI/AAAAAAAH-7I/xmt8Cc7tYIY/s640/DSC02771.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dcXbpc_Itck/VhtVgQVcNQI/AAAAAAAH-7E/t_JUxQXFhls/s640/WP_20151010_16_54_28_Pro.jpg)
MUZIKI mnene Bar kwa Bar wiki iliyopita ulivuka kivuko na kuhamia Kigamboni,wakazi wa eneo hilo ambao ni wasikilizaji wa 93.7 EFM walipata burudani ya aina yake kutoka kwa timu nzima ya EFM redio.
Burudani ilianza na kabumbu...