MV KIGAMBONI YAPOTEZA MWELEKEO NI BAADA YA KUPIGWA NA UPEPO
Wananchi wakiangalia kivuko cha Mv. Kigamboni baada ya kupoteza mwelekeo kufuatia kupigwa na upeopo hivyo abiria waliokuwemo kwenye gati la upande wa Kigamboni mapema leo Jumapili Julai 19, 2015.
Baada ya kupakia Abiria na magari upande wa kigamboni likiwemo gari maalumu la kubebea wagonjwa lilifanikiwa kutoka upande wa kigamboni na lilipofika jirani na gati upande wa Magogoni lilipoteza mwelekeo kwa dakika kadhaa hatimaye kushusha upande wa magogoni. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMV KIGAMBONI LAPOTEZA MWELEKEO UPANDE WA KIGAMBONI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xpUSHP4S-GI/VV28UFEJLuI/AAAAAAAHY0E/URrSeKzokCQ/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
TAIFA STARS BADO NGOMA NGUMU COSAFA, YAPOTEZA MCHEZO WA PILI KWA KUPIGWA 2-0 NA MADAGASCER
![](http://2.bp.blogspot.com/-xpUSHP4S-GI/VV28UFEJLuI/AAAAAAAHY0E/URrSeKzokCQ/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OVKnRIPQFuc/VV28UPVrDEI/AAAAAAAHY0A/J0-HiZ28Lgw/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Wanafunzi 70 wapoteza mwelekeo wa shule baada ya bomoabomoa Dar
10 years ago
VijimamboSTARS YAPOTEZA MCHEZO WA PILI BAADA YA KUPATA KICHAPO CHA BAO 2-0 KUTOKA KWA MADAGASCAR
Katika mchezo huo wa jana, Taifa...
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Mchezaji afariki baada ya kupigwa
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SOrIQsJAbHA/UwWcr2OUN6I/AAAAAAAFOMo/OWQlg-kSv_I/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Familia yaishi chooni ni baada ya nyumba yao kuezuliwa na upepo wilayani Hai, Kilimanjaro
![](http://2.bp.blogspot.com/-SOrIQsJAbHA/UwWcr2OUN6I/AAAAAAAFOMo/OWQlg-kSv_I/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VLQvuBEzzk0/UwWcuB1NhcI/AAAAAAAFONU/f1djxonSZQA/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9oVrkfSwMOc/UwWcr9dGyOI/AAAAAAAFOMs/8toypbl_z-g/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vTmOccjnXyE/UwWcsRbPtkI/AAAAAAAFOM0/s47sJ-CDGfc/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Bongo Movies12 May
Kajala Anaendelea Vizuri Baada ya Kupigwa Chupa Usoni
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja anaendelea vizuri baada yakupigwa chupa na kijana mmoja usiku ya kuamkia jana wakiwa kwenye show ya mwanamziki Mabeste aliyoiandaa ili kuchangisha pesa kwa ajili ajili ya matibabu ya Mkeo.
Leo kupitia ukurasa wake mtandaoni, kajala ameweka picha hiyo hapo juu na kuandika “Maisha yanaendelea au sio......” kuonyesha kuwa yupo poa na anaendelea na masiha yake yakawida.
Akilezea tukio hilo la kupigwa na chupa hapo jana alipofanya mahojiano na mtangazaji...
10 years ago
Bongo519 Dec
Ex wa Nicki Minaj afikiria kujiua baada ya kupigwa kibuti!