Kajala Anaendelea Vizuri Baada ya Kupigwa Chupa Usoni
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja anaendelea vizuri baada yakupigwa chupa na kijana mmoja usiku ya kuamkia jana wakiwa kwenye show ya mwanamziki Mabeste aliyoiandaa ili kuchangisha pesa kwa ajili ajili ya matibabu ya Mkeo.
Leo kupitia ukurasa wake mtandaoni, kajala ameweka picha hiyo hapo juu na kuandika “Maisha yanaendelea au sio......” kuonyesha kuwa yupo poa na anaendelea na masiha yake yakawida.
Akilezea tukio hilo la kupigwa na chupa hapo jana alipofanya mahojiano na mtangazaji...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBAADA YA KUPIGWA CHUPA, KAJALA ASEMA MAISHA YANAENDELEA
11 years ago
Michuzi14 Apr
ALEX MSAMA ANAENDELEA VIZURI NA MATIBABU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/118.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Bondia Muhammad Ali anaendelea vizuri
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/27.jpg)
MKURUGENZI ALEX MSAMA ANAENDELEA VIZURI
9 years ago
Habarileo27 Sep
Mgombea Chadema matatani tukio la kupigwa chupa askari
JESHI la Polisi mkoani hapa linamshikilia mgombea ubunge wa Jimbo la Dodoma, Benson Kigaila (Chadema) na wenzake 10 kwa tuhuma za kufanya vurugu na kumpiga askari polisi kwa chupa kichwani.
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Mchezaji afariki baada ya kupigwa
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mchezaji afariki baada ya kupigwa kichwa