Mbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua Kiota kipya Mji Mwema Kigamboni
Mbunge we jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile akikata utepe kufungua rasmi kiota kipya Mji Mwema Kigamboni. Kiota hicho kinaitwa Fursat Dhahabiyya.
Wadau mbalimbali wakijivinjari ndani ya kiota kipya cha Fursat Dhahabiyya Kilichopo Mji Mwema Kigamboni
Mwonekano wa Ndani wa Kiota Hicho
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua kipya Mji Mwema Kigamboni cha Fursat Dhahabiyya.
10 years ago
GPLMBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE MGENI RASMI MKUTANO WA HADHARA DAR
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE MGENI RASMI MKUTANO WA HADHARA DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE KUFUNGUA MASHINDANO YA DIWANI CUP KATA YA KISARAWE TWO TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziMBUNGE WA KIGAMBONI DK.FAUSTINE NDUGULILE AZINDUA MASHINDANO YA DIWANI CUP KATA YA KISARAWE TWO MANISPAA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Barabara ya Kongowe — Mji Mwema — Kigamboni tayari inapitika
Matengenezo yakiendelea katika Daraja la Mpiji.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akifuatilia matengenezo katika Daraja la Mpiji.
Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi la Tanzania wamefanikisha kuifungua barabara ya Kongowe kuelekea Mjimwema hadi Kigamboni ambayo ilijifunga kutokana na kukatika kwa kalvati katika mto Mtokozi . Kalvati hilo lilibomolewa na mvua kubwa zilizonyesha kwa siku kadhaa hapa jijini.
Hapo juzi siku ya Jumanne,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DVdfg42RkUE/U07w-DTKeRI/AAAAAAAFbYk/XoNPLMnGaS0/s72-c/Picha+Na.+1.jpg)
BARABARA YA KONGOWE — MJI MWEMA — KIGAMBONI TAYARI IMEANZA KUPITIKA
Hapo jana siku ya Jumanne, Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pia alishirikiana na watendaji kwa siku nzima akiwa eneo la Mpiji kuhakikisha barabara ya Dar es...
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 45 ZA UCHIMBAJI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MJI MWEMA KIGAMBONI
11 years ago
GPLTAASISI YA TWA YASHEHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA KITUO CHA CHAWAWAKI MJI MWEMA KIGAMBONI