Makunga ageukia ujasiriamali
Ikiwa ni mwezi mmoja tangu astaafu kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, mmoja wa waanzilishi wa Gazeti la Mwananchi, mwanahabari Theophil Makunga ameweka wazi dhamira yake ya kujikita kwenye ujasiriamali baada ya kuitumikia kampuni hiyo kwa muda usiopungua miaka 15.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oO9mYzlSd2gkcklTySTP092Le24LohaUXPYP8fEjMwESHTVITA0vS0mxobbXJP--k-djvoDzX8TmN5x1NmJI7F4/WASTARA.jpg)
WASTARA AGEUKIA UJASIRIAMALI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCCZmZEmcR3KYPG7e24PdpGPua6oZCe-VitJvX5PU*1Hk6kFoEgoxwRjgkFvyTDGtUiJ*4nBXKDUSvibGW3zriF/Devotha.jpg)
DEVOTHA MBAGA AGEUKIA UFUGAJI
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Mlela ageukia Bongo Fleva
Staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela.
Suzan kayogela
BAADA ya kuegemea upande wa filamu kwa muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela ameamua kugeukia Muziki wa Bongo Fleva rasmi ili kutimiza ndoto zake za muda mrefu alizokuwa nazo.
Akistorisha na kona ya Bongo Muvi Mlela alisema kuwa, kabla ya kujikita kwenye uigizaji alikuwa na nia ya kuanza kufanya muziki lakini baadaye alikuja kubadili uamuzi na kufanya filamu ambazo zimemletea heshima kubwa.
“Nimeshatengeneza ngoma yangu ambayo...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo
9 years ago
Bongo510 Dec
Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku
![Hi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Hi-300x194.jpg)
Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:
Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHDkPsqpeUVJog-QPpioW8wCIHTJOKkm2GbwcuxKsiuoEDdY6qMB4nZykMKOAMb-0J7WZDzMgZkRaaz24cqcRil/mai.jpg?width=650)
MAINDA AGEUKIA KUIMBA INJILI
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Aliyetemwa ukuu wa wilaya ageukia ubunge
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2629702/highRes/950184/-/maxw/600/-/ix45r7/-/ukuu.jpg)
Dar es Salaam. Siku moja baada ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu amesema sasa anageukia ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi.Kingu alisema siku nyingi alikuwa na shauku ya kugombea ubunge katika jimbo hilo, kwamba kuondolewa katika wadhifa huo kutampa nafasi ya kujipanga na kuhakikisha anashinda jimbo hilo linaloongozwa na Mohamed Hamisi Missanga (CCM).“Unajua kwa muda...
11 years ago
IPPmedia30 Jan
Kibanda, Makunga acquitted
eTurboNews
IPPmedia
Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday acquitted former Tanzania Daima Managing Editor Absalom Kibanda and two others of charges of sedition due to lack of sufficient evidence. The accused were acquitted under section 235 of ...
Tanzanian court sets free senior editors free from seditious caseeTurboNews
Court frees editors off sedition hookDaily News
Tanzanian acquits three journalists for seditionGlobalPost
all 4
10 years ago
GPL23 Mar