MAINDA AGEUKIA KUIMBA INJILI
![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHDkPsqpeUVJog-QPpioW8wCIHTJOKkm2GbwcuxKsiuoEDdY6qMB4nZykMKOAMb-0J7WZDzMgZkRaaz24cqcRil/mai.jpg?width=650)
MSANII wa sinema Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ aliyewahi kutamba na filamu za kidunia, sasa ameamua kuimba muziki wa Injili ikiwa ni kumtukuza Mungu na kujiandalia maisha mema ya peponi. Msanii wa sinema Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ Akipiga stori na mwandishi wetu juzi, staa huyo aliyekuwa akiitwa Mwanaidi na kubadili jina baada ya kuokoka, alisema: Vijana siku zote tuna nguvu, tuna muda wa kutosha hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg8dkDYjgQ5Jp0gG1WOsXj0-FSlNc7Vfb4mhgRmzwZfu1S2OEMZlFEAVcjl89uCiUaategzNeqFLRqQXNBHiV31x/mainda.jpg)
MAINDA KUFANYA MAPINDUZI YA INJILI
10 years ago
Bongo Movies15 May
Lulu Atamani Kuimba Injili
Staa wa bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema anatamani sana siku moja kuimba muziki wa injili kwa vile anacho kipaji cha uimbaji.
Staa huyo aliyasema hayo wakati akihojiwa kwenye kipindi cha televisheni cha The Sporah Show wiki hii.
“Napenda kuimba...nadhani naweza kuimba, napenda kama siku ikitokea nimekuwa muimbaji niimbe gospel, napenda sana gospel" alisema Lulu.
Pia Lulu alisistiza kuwa yeye ni mtu mwenye hofu ya Mungu.
“I’m God fearing yaani namuogopa sana na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oO9mYzlSd2gkcklTySTP092Le24LohaUXPYP8fEjMwESHTVITA0vS0mxobbXJP--k-djvoDzX8TmN5x1NmJI7F4/WASTARA.jpg)
WASTARA AGEUKIA UJASIRIAMALI
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Makunga ageukia ujasiriamali
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Mlela ageukia Bongo Fleva
Staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela.
Suzan kayogela
BAADA ya kuegemea upande wa filamu kwa muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela ameamua kugeukia Muziki wa Bongo Fleva rasmi ili kutimiza ndoto zake za muda mrefu alizokuwa nazo.
Akistorisha na kona ya Bongo Muvi Mlela alisema kuwa, kabla ya kujikita kwenye uigizaji alikuwa na nia ya kuanza kufanya muziki lakini baadaye alikuja kubadili uamuzi na kufanya filamu ambazo zimemletea heshima kubwa.
“Nimeshatengeneza ngoma yangu ambayo...
9 years ago
Bongo510 Dec
Mr Nice ageukia ufugaji wa kuku
![Hi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Hi-300x194.jpg)
Mr Nice hategemei muziki peke yake kwa sasa. Kuna kitu kingine kikubwa anachokifanya – ufugaji kuku.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Mr Nice amepost picha akiwa kwenye banda la kuku na kuandika:
Sio mpaka niimbe tu ndio nipate hela. Hii pia ni moja kati ya kazi zinazonipa jeuri, some time nakaa kimya kabisa ila sharehe zinaendelea na wengine wanahisi ninabiashara haramu. Napenda kuwamshauri wasanii wenzangu mkishatoka kwenye majukwaa kile mnalichokipata wekezeni kidogo ili msiwe watumwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCCZmZEmcR3KYPG7e24PdpGPua6oZCe-VitJvX5PU*1Hk6kFoEgoxwRjgkFvyTDGtUiJ*4nBXKDUSvibGW3zriF/Devotha.jpg)
DEVOTHA MBAGA AGEUKIA UFUGAJI
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Aliyetemwa ukuu wa wilaya ageukia ubunge
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2629702/highRes/950184/-/maxw/600/-/ix45r7/-/ukuu.jpg)
Dar es Salaam. Siku moja baada ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu amesema sasa anageukia ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi.Kingu alisema siku nyingi alikuwa na shauku ya kugombea ubunge katika jimbo hilo, kwamba kuondolewa katika wadhifa huo kutampa nafasi ya kujipanga na kuhakikisha anashinda jimbo hilo linaloongozwa na Mohamed Hamisi Missanga (CCM).“Unajua kwa muda...