Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibanda, Makunga acquitted


eTurboNews
Kibanda, Makunga acquitted
IPPmedia
Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday acquitted former Tanzania Daima Managing Editor Absalom Kibanda and two others of charges of sedition due to lack of sufficient evidence. The accused were acquitted under section 235 of ...
Tanzanian court sets free senior editors free from seditious caseeTurboNews
Court frees editors off sedition hookDaily News
Tanzanian acquits three journalists for seditionGlobalPost

all 4 news...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Makunga, Kibanda washinda kesi ya uchochezi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru Meneja Uendelezaji Biashara wa Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Theophil Makunga, Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda na Samson Mwigamba katika kesi ya makala ya uchochezi iliyokuwa ikiwakabili.

 

11 years ago

GPL

MAKUNGA, KIBANDA, MWIGAMBA WASHINDA KESI YA UCHOCHEZI

Theophil Makunga.
Absalom Kibanda.…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAKUNGA, KIBANDA BAADA YA KUSHINDA KESI YAO KISUTU LEO

Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda akiongea na waandishi baada ya kushinda kesi katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu. Wakili wa washitakiwa, Nyaloni Mwita akiongea na waandishi wa habari nje ya mahakama.…

 

10 years ago

Mwananchi

Makunga ageukia ujasiriamali

Ikiwa ni mwezi mmoja tangu astaafu kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, mmoja wa waanzilishi wa Gazeti la Mwananchi, mwanahabari Theophil Makunga ameweka wazi dhamira yake ya kujikita kwenye ujasiriamali baada ya kuitumikia kampuni hiyo kwa muda usiopungua miaka 15.

 

11 years ago

TheCitizen

Court set for Makunga judgment

The Kisutu Resident Magistrate’s Court is today expected today to deliver judgment in the case against former Mwananchi Communications Limited (MCL) Group Managing Editor Theophil Makunga and two others.

 

11 years ago

Mwananchi

Makunga, Kilimwiko sasa wamshangaa Mwakyembe

>Mwandishi wa habari mkongwe nchini, Theophil Makunga, ameelezea kushangazwa kwake na kauli ya Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, kwamba waandishi wasiingie na kuandika habari kuhusu vikao vya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba kwa madai mchakato wa kutunga Katiba ni sawa na vita.

 

11 years ago

TheCitizen

Court throws out sedition case against Makunga

 Former Mwananchi Communications Limited (MCL) Group Managing Editor Theophil Makunga was yesterday acquitted of sedition along with two co-accused.

 

11 years ago

TheCitizen

JUDGEMENT: Makunga and co-accused set free

The Kisutu Resident Magistrate’s Court has today cleared Theophil Makunga, the Business Development Manager at Mwananchi Communications Limited (MCL).In his judgement, Magistrate Walirwande Lema said the prosecution had failed to prove that the article, written by Samson Mwigamba and published by Tanzania Daima, was seditious.

 

11 years ago

Mwananchi

Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo

Mahakama ya Hakimun Mkazi Kisutu yawaachia huru punde Meneja Uendelezaji Biashara wa Mwananchi Communication (MCL), Theophil Makunga, Aliyekuwa Mhariri Mtendaji  wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani