Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makunga, Kilimwiko sasa wamshangaa Mwakyembe

>Mwandishi wa habari mkongwe nchini, Theophil Makunga, ameelezea kushangazwa kwake na kauli ya Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, kwamba waandishi wasiingie na kuandika habari kuhusu vikao vya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba kwa madai mchakato wa kutunga Katiba ni sawa na vita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ajali sasa zaangamiza maelfu - Mwakyembe

 Jumla ya watu 1,126 wamepoteza maisha kwa ajali za barabarani katika kipindi cha miezi mitatu, huku kukiwa na majeruhi 3,827 kati ya ajali 3,338 zilizotokea katika maeneo tofauti nchini

 

10 years ago

Mwananchi

Waamuzi wamshangaa Kibaden

>Dar es Salaam. Uongozi wa Chama cha Waamuzi wa soka Tanzania ‘FRAT’ umemshangaa Kocha Mkuu wa Simba, Abdallah Kibaden kutokana na shutuma alizokuwa akizitoa juu ya mwamuzi, Mohamed Theofile baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu iliyokutanisha timu hiyo na Kagera Sugar juzi Alhamisi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Dewji Blog

Henry na Carragher wamshangaa Van Gaal

thierry-henry-jamie-carragher-di

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry na mwenzake wa Liverpool, Jamie Carragher ambao kwa sasa ni wachambuzi wa soka katika kituo cha michezo, Sky Sports wamemshangaa kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal kwa jinsi anavyomtumia mchezaji wake, Antony Martial.

Wakiwa katika kipindi cha michezo katika kituo hicho wakati wakimzungumzia Martial kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita ambapo Manchester United ilipoteza mchezo huo mbele ya Norwich kwa kipigo cha...

 

11 years ago

CloudsFM

WATU WAMSHANGAA IZO BUSINESS BARABARANI MCHAFU ANAOKOTA MAKOPO

Hivi karibuni wakazi wa maeneo ya Sinza,jijini Dar walipata mshangao baada ya kumwona Rapa Izzo Businezz akiwa akiwa mchafu akipiga njaa kwa ajili ya cover ya ngoma yake mpya inaitwa ‘Walalahoi’, ambayo Izzo ameonekana akiwa kwenye banda la mkaa na nyingine ameonekana akiwa barabarani huku akiwa ameshikilia gunia lake la makopo.Huyu hapa Izzo Business akifunguka changamoto zilikuaje kwenye kupiga picha za cover za ngoma hii.

 

11 years ago

IPPmedia

Kibanda, Makunga acquitted


eTurboNews
Kibanda, Makunga acquitted
IPPmedia
Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday acquitted former Tanzania Daima Managing Editor Absalom Kibanda and two others of charges of sedition due to lack of sufficient evidence. The accused were acquitted under section 235 of ...
Tanzanian court sets free senior editors free from seditious caseeTurboNews
Court frees editors off sedition hookDaily News
Tanzanian acquits three journalists for seditionGlobalPost

all 4

 

10 years ago

Mwananchi

Makunga ageukia ujasiriamali

Ikiwa ni mwezi mmoja tangu astaafu kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, mmoja wa waanzilishi wa Gazeti la Mwananchi, mwanahabari Theophil Makunga ameweka wazi dhamira yake ya kujikita kwenye ujasiriamali baada ya kuitumikia kampuni hiyo kwa muda usiopungua miaka 15.

 

11 years ago

TheCitizen

Court set for Makunga judgment

The Kisutu Resident Magistrate’s Court is today expected today to deliver judgment in the case against former Mwananchi Communications Limited (MCL) Group Managing Editor Theophil Makunga and two others.

 

11 years ago

TheCitizen

Makunga acquittal proves ’76 NEWSPAPERS Act must go

The acquittal by the Kisutu Resident Magistrate’s Court of Mwananchi Communications Limited Business Development Manager Theophil Makunga, former Tanzania Daima Managing Editor Absalom Kibanda and former Chadema chairman for Arusha Samson Mwigamba is a clear indicator that any assumed wrongs by media can be sorted out – as other conflicts should – before the court.

 

11 years ago

Mwananchi

Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo

Mahakama ya Hakimun Mkazi Kisutu yawaachia huru punde Meneja Uendelezaji Biashara wa Mwananchi Communication (MCL), Theophil Makunga, Aliyekuwa Mhariri Mtendaji  wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani