WATU WAMSHANGAA IZO BUSINESS BARABARANI MCHAFU ANAOKOTA MAKOPO
Hivi karibuni wakazi wa maeneo ya Sinza,jijini Dar walipata mshangao baada ya kumwona Rapa Izzo Businezz akiwa akiwa mchafu akipiga njaa kwa ajili ya cover ya ngoma yake mpya inaitwa ‘Walalahoi’, ambayo Izzo ameonekana akiwa kwenye banda la mkaa na nyingine ameonekana akiwa barabarani huku akiwa ameshikilia gunia lake la makopo.
Huyu hapa Izzo Business akifunguka changamoto zilikuaje kwenye kupiga picha za cover za ngoma hii.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Feb
Izo Business: Sioni umuhimu wa kujihusisha na siasa
NA JUMA HEZRON, DAR ES SALAAAM
MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’, amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa mtu ajitoe kwa ajili ya watu na siyo kuingia ili ujipatie fedha kama yalivyo mawazo ya wasanii wengi.
“Siasa kwa upande wangu sijaipa kipaumbele, ingawa nimeshawishiwa na marafiki zangu...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
Izo Business asema haoni umuhimu wa kujihusisha na siasa
MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’, amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa mtu ajitoe kwa ajili ya watu na siyo kuingia ili ujipatie fedha kama yalivyo mawazo ya wasanii wengi.“Siasa kwa upande wangu sijaipa kipaumbele, ingawa nimeshawishiwa na marafiki zangu nigombee nafasi mbalimbali,” alisema...
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
Izo Business na Ben Paul wapamba uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio mkoani Iringa
Afisa Mipango VVU/UKIMWI kutoka UNICEF, Bi. Alice Ijumba akitoka kukagua jukwaa lenye hadhi ya kimataifa la Ebony FM kwenye uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio uliofanyika jana kwenye viunga vya Samora mkoani Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Tosamaganga wakiwasili kwenye viwanja vya Samora mjini Iringa kushuhudia uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio inayowalenga vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 iliyozinduliwa rasmi jana mkoani...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0145.jpg?width=640)
IZO BUSINESS NA BEN PAUL WAPAMBA UZINDUZI WA KAMPENI YA SHUGA REDIO MKOANI IRINGA
10 years ago
Vijimambo28 Jan
JIJI LA WATU WASIO LALA NEW YORK LIKIWA HALINA WATU BARABARANI WAKATI TUFANI ILIPOANZA KUANGUKA
![](https://lh4.googleusercontent.com/-RKmObP6j5AM/VMd_9vjyxVI/AAAAAAABWZw/skU7PlaE0GI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BRadio%2BCity%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9X71XUVzyE8/VMeAQP6EJuI/AAAAAAABWao/ZToDUvbsIrw/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BMadison%2BAvenue%2BEmpt.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-_yrQZt0bc0E/VMeANC-JxWI/AAAAAAABWag/U8LVWdMG9FQ/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BTemple%2BEmanu-el%2B.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-9c-OA0OwmqY/VMeAMLQOP4I/AAAAAAABWaY/X1i53HDt8f0/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B6th%2BAvenue%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-wjRDShw-AtE/VMcJjprS3CI/AAAAAAAACYU/MTFUEZbIvwM/w1185-h889-no/new-york-city-snowstorm-epic-january-2015.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-XU0bAaEIqC8/VMeAKjJz30I/AAAAAAABWaQ/eGEF4hX-IH4/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2BMadison%2BAvenue%2B%281%2Bof%2B1%29-2.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-jFqBacQk5Vs/VMeAJTUHRII/AAAAAAABWaI/Vny21e5wSZI/w1333-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BEmpty%2B5th%2BAvenue%2B-%2BBergdorf%2B.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-GM8wYz4Onic/VMeADMkWtAI/AAAAAAABWaA/gg72pf0QSZ4/w1277-h889-no/New%2BYork%2BCity%2B-%2BSnow%2B-%2BWinter%2BStorm%2BJuno%2B-%2BNear%2BTimes%2BSquare.jpg)
9 years ago
BBCSwahili04 Oct
Miili ya watu 8 yapatikana barabarani Burundi
10 years ago
GPLWATU WAZIMA WASAIDIAPO KUWAVUSHA WATOTO BARABARANI
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Ajali za barabarani zaongezeka Tabora, zauwa idadi kubwa ya watu!
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila akipata maelezo kutoka kwa Dr.Anna Kichambati wa Redcross Tabora wakati wa sherehe za wiki ya usalama barabarani mkoani Tabora.
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Mwananzila akisalimiana na Afisa mfawidhi wa Sumatra mkoa wa Tabora Bw.Joseph Michael wakati wa wiki ya usalama barabarani mkoa wa Tabora.
Mmoja kati ya maafisa wa polisi kikosi cha usalama barabarani Tabora mjini akimuonesha mkuu wa mkoa wa Tabora Bw.Ludovick Mwananzila kifaa maalumu...
9 years ago
TheCitizen19 Nov
YOUR BUSINESS IS OUR BUSINESS : Study shows there’s good business in human waste!